jogoolashamba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 348
- 71
Pita pale nyuma wanapouza kitimoto sted yakwenda kwa ndumba utaona uchochoro pembeni mwa dar live utaniambia umeona nini
HIVI HUKO KWENYE VICHOCHORO VYA NAMNA HIYO HUWA MNAKWENDA KUFANYA NINI? WANAOKWENDA HUKO HAWAPIMIKI KWA MIZANIA YA WATU WA KAWAIDA! AKILI YENU NI NDOGO KAMA MTOA MADA ALIYEANDIKA KUHUSU MZUNGU ALIYEKUWA AKIINGILIANA NA MBWA WAKATI JIRANI ZAKE WANAMSIHI AACHE. HALAFU MKAITA HIYO NDIYO TABIA YA WAZUNGU, JAMBO AMBALO SI KWELI. ALIYEKUWA AKIINGILIANA NA MBWA HATA SURA YAKE INAONYESHA ANAUMWA "DEMENSIA", KWA HIYO NDUGU YETU MTOA MADA AKAMAANISHA WAZUNGU WOTE WANA "DEMENSIA".
Hakuna asiyepajua huko Zakheem nyuma ya DAR LIVE, huko wanaishi wabwia unga. Kama wanaobwia unga kwako ni raia wa kawaida basi pole!!!!!!!! Mnaloloma tu bila hata kufanya tafiti juu ya mambo mnayoyazungumza! Wabwia unga dunia nzima hawana miiko, sikiliza waliokwishapitia uponyaji wa kupondokana na madawa ya kulevya ndiyo utaelewa kwa nini wanaishi hivyo nyuma ya DAR LIVE.