Dar kama Sodoma na Gomora

Dar kama Sodoma na Gomora

Jana ucku nilipita maeneo ya mbagala zakhemu aisee papucha inauzwa kama njugu.katika pitapita zangu nilistuka navutwa Shari.nakuniambia elfu 3000 tu.nikauliza yanini uduma yamwili UK wengine.wanasema uduma ya 071 elf 4000 serikali kama IPO wasaidie kuondoa aibu ile.kazi kwenu wana jf

Bora kama wengine mnaona ingawa serikali imefumba macho
 
Mtoa mada elekeza vzr mbagala zakhem ni kubwa
Elekeza ni sehem gani ya zakhem ili tuchangie km ni kweli au umepotosha jf
Mm ninaishi maeneo hayo lkn hakuna kitu km hicho hayo yapo huko sinza oystbay nk
 
Jana ucku nilipita maeneo ya mbagala zakhemu aisee papucha inauzwa kama njugu.katika pitapita zangu nilistuka navutwa Shari.nakuniambia elfu 3000 tu.nikauliza yanini uduma yamwili UK wengine.wanasema uduma ya 071 elf 4000 serikali kama IPO wasaidie kuondoa aibu ile.kazi kwenu wana jf

Ajira zaidi zilizohaidiwa kuongezeka wakat wa kampeni mwaka 2005 moja ndio hiyo,dada zetu wanakamatia fursa,ajira hatarish zimeongezeka nying tu ikiwemo za boda boda ambazo kila siku uchukua uwah wa ndugu zetu
 
Wewe unasema zakiem kwa sasa hii biashara ni kila kona yabnchi hadi umasaini mimi nipo kwenye utafili kila bint anaye nivutia na namtongoza anakwambia una bei gani nkakupe mzigo huyo ni wamtaani sio wa viwanja vyetu tulivyo vizoea kwa hiyo sasa hivi watoto wa mtaani niwabovu kuliko hata wale wanao jitangaza kwenye viwanja vyetu vile hatari ya wale wa mtaani ni moja huwa hawakumbuki ndomu kauli yake ni ukikaribia toanje naogopa mimba je usalama wa afyabyake ukoje huyo? Hili nikumuomba mungubtu.
 
Life its very hard when you get something per day must say thanks for God, have a lot af people can stay without eat till darkness come, when you get today don't forget tomorrow

Thank you for strangling English by the neck.
 
Mtoa mada elekeza vzr mbagala zakhem ni kubwa
Elekeza ni sehem gani ya zakhem ili tuchangie km ni kweli au umepotosha jf
Mm ninaishi maeneo hayo lkn hakuna kitu km hicho hayo yapo huko sinza oystbay nk
Pita pale nyuma wanapouza kitimoto sted yakwenda kwa ndumba utaona uchochoro pembeni mwa dar live utaniambia umeona nini
 
Life its very hard when you get something per day must say thanks for God, have a lot af people can stay without eat till darkness come, when you get today don't forget tomorrow
mkuu shukrani kwa mchango wako, ila wakati mwingine uwaunaaza kwa kunywa walau kiroba cha ZanZi, hiyo lugha ni wito.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Life its very hard when you get something per day must say thanks for God, have a lot af people can stay without eat till darkness come, when you get today don't forget tomorrow
Kigerman kigumu sana,
 
Serikali ndiyo unataka ifunge zipu yako wewe? Huko nani anakupeleka kama siyo nafsi yako ya kizinzi?!
 
Manzese kwa mfuga mbwa ni shs 500 au buku moja ila sehemu unalipia wewe, unapiga kona moja unakutana na boksi limetandikwa chini unalipia na kupewa huduma
 
Leo nakwenda kuonja buguruni. eti ni sehemu gani vile? kesho naamkia Mbagala zhakhem kwenye uchochoro nyuma ya Dar live. mmesema 071 ndio nini hyo buku nne. na hiyo 071 kuonja imo ?
 
Mtoa mada elekeza vzr mbagala zakhem ni kubwa
Elekeza ni sehem gani ya zakhem ili tuchangie km ni kweli au umepotosha jf
Mm ninaishi maeneo hayo lkn hakuna kitu km hicho hayo yapo huko sinza oystbay nk

Au kama vipi aweke na picha kabisa..
 
Life its very hard when you get something per day must say thanks for God, have a lot af people can stay without eat till darkness come, when you get today don't forget tomorrow





Anko kwa kiingereza hichi Mbagala mabibi unapata bure. ulikisomea wapi hichi kiingereza. ulipasi kweli ?
 
Can stay without eat till darkness come. yaani
weza kaa bila kula mpaka giza linatinga
 
Leo nakwenda kuonja buguruni. eti ni sehemu gani vile? kesho naamkia Mbagala zhakhem kwenye uchochoro nyuma ya Dar live. mmesema 071 ndio nini hyo buku nne. na hiyo 071 kuonja imo ?

Njoo mkuu.. nyuma ya soko la buguruni.. Coming at your own risk.
 
Back
Top Bottom