Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
Hahahahdah uku kimenuka, hata ham ya kugegeda imetoweka, sio kwa mijasho ile
Hahahahdah uku kimenuka, hata ham ya kugegeda imetoweka, sio kwa mijasho ile
yaani hadi inanikera sasa, ina miaka 8 sasa, sijawai iwekea hata grease , hii aniko imeshuhudia migegedo mingi mno,Hiyo feni ni ya kipekee sana kwa ubora siku zote
Hahahah
Kipindi niko dar ilinisave sana baada ya michina kadhaaa kunizingua ilikuwa inapiga mzigo 24/7 mpaka nachomoka miaka miwili imepita ila naambiwa kazi ni kama dawaHiyo feni ni ya kipekee sana kwa ubora siku zote
Joto la Dar kuna kipindi nilipanga Mwananyamala A aisee ni balaa. Watu wanalala nje kama walinziUpo kama mimi mkuu sipendi joto kabisa lakini sina budi
Kwa hiyo ile inakuwa hakuna amaKule ndo noma nilipita huko usiku mmoja nilistaajab sana watu wamelala nje kwenye mikeka
Ahahahahah..Umenikumbusha enz naanza life nimepanga tandika nilikua na feni yangu mbovu hiyo ukiiwasha haizunguki mpaka ukai boost kwa kuizungusha na mkono.So ikawa inalazimu nati za mfuniko wa mbele nizitoe iwe funika funua 😂😂😂😂😂Feni mbovu ndo tamu... Hahahahaha
😂 😂 😂 😂 😂 😂Joto limeanza rasmi tujiandae kuungua kwa joto; najionea huruma
Na Tanga linaanza kushika kasi!Wana Dar wenzangu, mji wetu msimu wa joto kali umeanza rasmi.
Tujiandae kisaikolojia maana joto linaanza kushika hatamu hapa ni mpaka mwezi wa sita mwaka 2021 ndo tutaanza kupumua tena kwa kaubaridi.
Joto limeanza rasmi tujiandae kuungua kwa joto; najionea huruma
Ambao mliuza feni na viyoyozi shughuli mnayo.
Wale wa nyumba za kupanga na Luku za kushindana mjiandae.
Tanesco mtuonee huruma msikate umeme maana bila umeme hizi feni na AC ndo tegemeo letu tutakwisha.
Dar ya wapi hiyo yenye BARIDI KALI MNO mkuu?Sijatumia feni yangu tangia mwaka jana maana baridi lilikuwa ni kali mno. Anyway, tumejipanga vya kutosha lije joto na ngono zembe zipungue.
Mkuu nipo mbezi mwisho hapa kama unaelekea makabe kiukwei chumba changu ninacholala dah sijui nikwambiaje kuna upepo ameizingi sana nikisema nifungue mapazia yote eh bwana kipupwe chake sio cha kawaidaDar ya wapi hiyo yenye BARIDI KALI MNO mkuu?
Mkuu CCM ndio wanaleta joto au baridChagueni CCM