Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 822
- 787
your brain is blindnessWapuuzi sana
your brain is blindnessWapuuzi sana
Ni Majambazi wamevamia Dar free Market katika jaribio la uporaji fedha na mmoja kuuawa na Polisi huku wawili wakitokomea kusikojulikana.Kuna habari wengine wamefyatuana huko Dar free market.
Mliopo jirani tupeni taarifa zaidi
Siasa mchezo mchafu broNamna waTz walivyoikataa tozo ya SamiaView attachment 1860226
Sasa hivi ndio mnamtaka hata huyo dikteta sio? Ngoja dawa iingieFor six years under dictator we never seen this shooting why? Its better be under dictator meanwhile your security is at its high height rather than be in democratic government that is full of mass killing and tourture we dont know who will be next
What a great picture of all timeNamna waTz walivyoikataa tozo ya SamiaView attachment 1860226
NI kweli kabisa watapunguza kiaisi ili waonekane serikali ni sikivu na wamesikia kilio chao ila bado wataacha kiasi walicho kusudia nasi tuone kuna unafuu tukisahau kuwa bidhaa moja unalipia kodi zaidi ya mara moja.Siasa mchezo mchafu bro
Tozo haiwezi kuondolewa zaidi ya kupunguzwa tu na ndiyo lengo la serikali
Wameongeza makato bado wataonekana mashujaa vilevile
Unadhani yalikuwa maamuzi ya Mwigulu pekeyake samia hajauhusika?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hii nakataa. enzi zile hakukuwa na uhuru wa habari. serekali ndo ilikua inaamuwa taarifa gani iende hewani na taarifa ipi isiende hewani. ila sio kweli eti uhalifu uliisha.Enzi za mwamba mwendazake yalisimama kwa muda kupisha mwamba atawale.
Sasa ni kama paka akiondoka panya hutawala.
Huyo siyo Norton wala Liston.Hivi Huyu Jamaa Ni Ken Norton au Sony Liston??
Yaani ni wewe tu ndio ulikuwa unayosoma hayo matukio mwenyewe, halafu wengine tukawa hatuzipati hizo habari kiasi unatuhakikishia with confindence yalikuwapo mengi tu. Usitufanye hatukuwapo kipindi cha jpmYalikuwepo chief sema hayakuwa reported kama yanavyofanywa sasa!
Yani online medias ndio habari zao hizi, groups za Facebook ndo habari ingine, JF ndio nyuzi 10 per day! Twitter ni kiharusi.
Angekuwepo huyo Ngosha angeuliza kazi ya Polisi ni nini kungetokea mauhamisho ya ajabu ajabu sana na kushushana vyeo.
ILA YALIKUWEPO TENA GEITA KABISA ALIKOTOKEA
Enzi za mwamba mwendazake yalisimama kwa muda kupisha mwamba atawale.
Sasa ni kama paka akiondoka panya hutawala.