Dar es salaam streets

Mjusi Sharobalo

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2025
Posts
7,442
Reaction score
12,715
Watu wa Mikoani mtuache kidogo kwanza. Kwanza Tunapozungumzia Dar es salaamu, mjue tunazungumzia sehemu mbili tofauti.

1 - USWAZI na 2 - USHUANI. Binafsi kwangu Dar es salaam halisi ni USWAZI. Bila kupoteza wakati, wakali wa Dar es salaam tupeane muongozo wa mambo kazaa hapa. 1 - Eneo linaloongoza kwa uswazi wa kupitiliza. 2 - Kwa wajuaji wa mambo. 3 - Dada poa. 4 - Wapigaji wa jiji. 5 - Wazee wa viwanja, na sehemu nyingine maarufu jijini, wakuja wajifunze hapa.
 
Temeke imeharibika, mambo yote ya hovyo yanafanyika ndani ya wilaya hiyo, vijana wameharibika sana.
 
Wa mikoani tunaoijua dar nje ndani tunakoment wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…