Dar es Salaam: Kwanini matokeo ya Ubunge hayatangazwi?

...Zungu ashinda ilala kwa kura 35 elfu na ushee dhidi ya kura 32 elfu na ushee za mgombea wa Cdm, huku mgombea wa cuf akiambulia kura elfu 2 na ushee; hivyo,kosa lililofanyika segerea ndio limejirudia ilala.
#source; radio one.
 
Tatizo unafikiri una akili sana kuliko Watanzania wengine. Kila kitu ni wewe tu ulishawahi na kukipigia kelele. Ungetoa solutions basi!!

huyo mzee bogus sana sijapata kuona...anajaribu kupingana na uzee wake na kujiona kama kijana mwenzetu
 
Zungu (CCM) kidedea jimbo la Ilala kwa zaidi ya kura 35,000.

Zungu kashinda lakini huyu Kijana Muslim Hassanali kamfundisha adabu ..NA kwa TAARIFA za uhakika Kama SIO zile KURA za wizi za vijana wake wa wizi Jana usiku ....Asingeshinda hata Kidogo ..
 
Tume wanafanya yao. Ninaomba sana UKAWA, jumulisheni matokeo kwa kutumia nakala za mawakala katika ngazi zote. Tume hii inachakachua mpaka basi na haitakiwi kuiamini bila kuthibitisha. Kama kuna sehemu mawakala hawajawapa nakala za nakala zao tafadhali fanyeni vile haraka iwezekanavyo or else tume hii siyo.

Ninasema haya kwa uchungu baada ya kusikiliza ITV alivyofanyiwa Wenje wa Nyamagana. Kwamba hadi wanafunga mahesabu, kwenye form za tume ambazo mawakala wote walikuwa nazo, Wenje alikuwa akiongoza kwa kura zisizopungua 4,000 Elfu nne mbele ya yule wa Ccm. Wakati wanasubiri atangazwe, kule kwa mkurugenzi kwa ubabe wakamtangaza wa Ccm eti kashinda.

Ninasikitika sana ninapoandika haya. Wenje akagoma kusaini na kutoa rai ya kuhesabu kura moja baada ya nyingine. La kuhuzunisha zaidi eti tangu asubuhi wanarudia kuhesabu kura hadi sasa hawajamaliza na hakuna kinachoeleweka.

Kweli hii ni tume ya kuamini wanahcokisema? Si kura za Madiwani, Si kura za Wabunge na zaidi sana Si kura za Raisi zinazotangazwa na tume zinatakiwa kuaminiwa hta kidogo bila kuthibitishwa.

UKIZINGATIA NA KITENDO CHA JANA CHA KUVAMIA TALLYING CENTER YENU ILI MSIJUE UHALISIA WA KILE KINATNGAZWA. NAOMBA SANA HILI MLICHUKULIE HATUA ZA HARAKA KABLA HAMJACHELEWA.

Kamanda hebu jaribu basi kuandamana.

Nyumbu wengi wapo nyuma yako wewe anza tu....



Lowasaaaaaaa mabadilikoooooo na mikono inazungushwa hahahahah
 
Hadi muda huu,hakuna hata jimbo moja jijini Dar es Salaam lililotangaza matokeo ya Ubunge. Yote bado kuna ukimya.

Si Ukonga,Segerea,Kinondoni,Ilala,Temeke,Mbagala,Kigamboni,Kawe,Ubungo wala Kibamba kulikotangazwa. KWANINI hayatangazwi?


Mnayakumbuka wakati Mrema anagombea Urais kupitia NCCR?

CCM walitangaza kwanza matokeo ya mikoani na walipoona kura za Urais zimetosha huko mikoani kiasi kwamba Rais anaweza kutangazwa hata bila ya kura za DSM, wakafuta uchaguzi wote wa Dsm na kuurudia tena wakati Rais kashapatikana.

Sidhani kama hali ile inaweza kujirudia kwa sasa kwani hata profile ya mikoani ni tofauti na wakati ule kwani watu sasa wameamka Tanzania nzima, thanks mitandao ya jamii.

Lakini ni wazi kwamba CCM inaiagiza tume kuweka kiporo kura zote za Urais na za ubunge zinazowapa ushindi wapinzani na hasa UKAWA ili waangalie mwenendo mzima wa kura watakazopata na watakazoweza kuchakachua majimboni kuona kama zitatosha kumpa ushindi Magufuli ili wajue watachakachua kwa kiasi gani kwenye maeneo ambayo UKAWA wameshinda kufidia upungufu kwenye maeneo wanayoyaongoza ama kwa halali au kwa hila ambayo tayari yameshatangazwa na tume.

Ni aibu kubwa mno kwa vyombo vya dola na tume kukaa kimya bila kuchukua hatua ya aina yoyote wakati kuna wana CCM wanakamatwa na raia wakiwa na maboxi ya kura feki kila mahala.
 
Mnayakumbuka wakati Mrema anagombea Urais kupitia NCCR?

Ni aibu kubwa mno kwa vyombo vya dola na tume kukaa kimya bila kuchukua hatua ya aina yoyote wakati kuna wana CCM wanakamatwa na raia wakiwa na maboxi ya kura feki kila mahala.

Hii kitu mnaita "Mabox ya kura feki" hatuiamini sana mana mnaweza hata mkawa ni nyie wenyewe mnayatengeneza ili kuiundia CCM zengwe. Iangalie hiyo statement kwa sura mbili utaona kwamba yote ni possible!
 
Hadi muda huu,hakuna hata jimbo moja jijini Dar es Salaam lililotangaza matokeo ya Ubunge. Yote bado kuna ukimya.

Si Ukonga,Segerea,Kinondoni,Ilala,Temeke,Mbagala,Kigamboni,Kawe,Ubungo wala Kibamba kulikotangazwa. KWANINI hayatangazwi?
Ukiona matokeo ya jimbo lolote linachukua muda zaidi kutanganzwa ujue Tume inakokotoa nambari ili chama cha mwenyekiti kisipate pigo la nguvu.

Tume ina kawaida ya kucheza na saikolojia ya wadanganyika.
 
Back
Top Bottom