Dar Es Salaam italia kilio kizito sio muda mrefu...

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,904
4,050
Kwa anachokisema Lukuvi, kama hakitaangaliwa in and out, wallah watu watalia, 80% za nyumba zitalala chini na sidhani kama kuna mtu atalipwa fidia.

Vyombo vya habari vimekaa kimya, social media zimetulia lakini tangu 1999 mpaka Leo zimejengwa mamilioni ya nyumba.

Sasa Dar itageuka nyumba ya maombolezo just watch.

Naomba suala hili lifanywe kwa umakini na si kwa mhemko wa kisiasa .

Kinondoni hananasif tayari 8000 on the list
Mbezi eneo la viwanda
Tabata eneo la wafanyakazi
Mwenge
Sinza
Kinondoni Biafra
nk
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nauliza hadi maeneo ya salasala watabomoa jaman. Nilisikiaga ni maeneo ya viwanda. Dah serekali kuweni tu name utu
 
Inabidi waangalie..maake huwez jua shida ya mtu atakayoipata pale utakapombomolea..cha muhimu alienunua kiserikali apewe eneo lingine na alipwe
 
Kila mtu anataka kuonekana anafanya kazi bila kujali anamuumiza nani?Busara ni kitu adimu kwa viongozi wetu hawana subra wao ni kufanya kazi na "Media"Watu wamejenga maeneo hayo kwa muda mrefu bila zuio/katazo toka mamlka husika leo mnabomoa kama vile mlikuwa safari ya muda mrefu wakati kila siku mlikuwa mnapita maeneo husika!
 
Usisahau magomeni yote,makuti,mapipa,mwembechai.Yaani hata kuangalia kwa macho tu,utajua nyumba ambazo haziingiliwa na mafuriko.Lakini hiyo hawajali.Tatizo la mawaziri wetu kutojiamini,watatumia nguvu kubwa mno kumfanya Rais awaone wanafanya kazi
 
kwa anachokisema Lukuvi, kama hakitaangaliwa in and out, wallah watu watalia, 80% za nyumba zitalala chini na sizan kama kunamtu atalipwa fidia.

Vyombo vya habari vimekaa kimya, social media zimetulia lakini tangy 1999 mpaka Leo zimejengwa mamilioni ya nyumba.

sasa dar itageuka nyumba ya maombolezo just watch.

Naomba suala hili lifanywe kwa umakini na si kwa mhemko wa kisiasa .

kinondoni hananasif tayar 8000 on the list
mbezi eneo la viwanda
tabata eneo la wafanyakazi
mwenge
sinza
kinondoni Biafra
nk
Unasema mbezi ni eneo la viwanda,unamaanisha mbezi ipi hiyo?
 
Kutumbua majipu kunaendana na maumivu kwa anayetumbuliwa. Ila mwisho wa siku ndo tiba inapatikana. Tuvumilie tu. neema yaja
Watu wanahitaji mabadiliko halafu wao ndio wa kwanza kuhamasisha kulialia...!
 
kwa anachokisema Lukuvi, kama hakitaangaliwa in and out, wallah watu watalia, 80% za nyumba zitalala chini na sizan kama kunamtu atalipwa fidia.

Vyombo vya habari vimekaa kimya, social media zimetulia lakini tangy 1999 mpaka Leo zimejengwa mamilioni ya nyumba.

sasa dar itageuka nyumba ya maombolezo just watch.

Naomba suala hili lifanywe kwa umakini na si kwa mhemko wa kisiasa .

kinondoni hananasif tayar 8000 on the list
mbezi eneo la viwanda
tabata eneo la wafanyakazi
mwenge
sinza
kinondoni Biafra
nk
Kwani mlilazimishwa mumchague? Mmemchaguwa wenyewe hakuna namna na lukuvu anapewa maaguzo kutoka kwa mkuu wa kaya..
 
kwa anachokisema Lukuvi, kama hakitaangaliwa in and out, wallah watu watalia, 80% za nyumba zitalala chini na sizan kama kunamtu atalipwa fidia.

Vyombo vya habari vimekaa kimya, social media zimetulia lakini tangy 1999 mpaka Leo zimejengwa mamilioni ya nyumba.

sasa dar itageuka nyumba ya maombolezo just watch.

Naomba suala hili lifanywe kwa umakini na si kwa mhemko wa kisiasa .

kinondoni hananasif tayar 8000 on the list
mbezi eneo la viwanda
tabata eneo la wafanyakazi
mwenge
sinza
kinondoni Biafra
nk

Hapa ndipo shida kubwa ya Serikali inayojiendesha kwa Kauli hewa na viongozi kupeleka Sura tupu kwa Umma badala ya kufanya kazi kimfumo.

Ni wangapi wamekwisha ona hizo wanazoita City plan?
Haya Macity Master Plan za Makabatini ?
Wanashidwaje hata kuweka alama za Miundo mbinu kama Barabara na mfumo wa majitaka ?
Miaka 16 iliyopita walikuwa wapi?.

Kwanza Sheria ya awali ilikuwa Sheria Mbovu ya ardhi na ndiyo maana lifumuliwa ili iwe sheria shiriki kwa maana ya wamiliki nao kuwa sehemu ya michakato.Sasa hivi hadithi za 1999 sijui inaingiaje humu?
Wataalaumu wa Sheria pengine watasaidi kulikweka sawa!
 
Mnaposhangilia wengine wanatumbuliwa majibu na nyie mjue kuwa mnayo lazima yatumbuliwe tu huu ndio muda mzuri wa Jiji la Dar kupangwa vizuri maana Chama Tawala hakina cha kupoteza hapo wasipotumia muda huu vizuri badae itakuwa shida in case wakijakupata majimbo mengi Dar chaguzi zijazo
 
Ni wakati muafaka sasa kutii sheria bila SHURUTI, ujenzi holela na maeneo hatarishi kamwe usivumiliwe.
 
Nadhan wakamue tu tutalia tukinyamaza tayari dar inakuwa mji bora.

Siku zote mambo mazuri huja kwa maamuzi magumu. Hata China isingekuwa ilipo bila uamuzi mgumu wa Chairman Mao tse Tung

Najiuliza saizi ikisemwa kila Mtanzania mwisho watoto wawili, mtaandamana mpk mbinguni, lkn ukweli unabaki katika kufikia malengo lazima tufunge mkanda kwelikweli.

Naunga mkono hata kuangusha dar yote tuanze upya si ujinga (in mjomba's voice)
 
Back
Top Bottom