Dar es Salaam Institute of Technology, first year!

Dar es Salaam Institute of Technology, first year!

Wale ndugu wote mliochaguliwa DIT kwa fani mbalimbali za shahada ya kwanza mwaka 2015/2016 karibuni tufahamiane hapa.
nasikia dit ni wako vizuri kwenye electrical engineering, kuna ukweli kuhusu hilo. Mi pia nimechaguliwa hapo elect eng
Tujuzane pia kuhusu hosteli za hapo dit
 
nasikia dit ni wako vizuri kwenye electrical engineering, kuna ukweli kuhusu hilo. Mi pia nimechaguliwa hapo elect eng
Tujuzane pia kuhusu hosteli za hapo dit

hostel jiandae kisaikolojia,wako vizuri ila kuna walimu watata balaa, ukilemaaa jiandae kurudi nyumban
 
Nakuonea huruma tu maana daah
Ucnionee huruma brother..
Naipenda DIT naipenda COM ENG...nlipotoka nmesoma masomo 10 kwa semister cdhan kama yatazidi hayo na nna background nzur ya programming and electronics...ctegemei sana walimu kama wanatoa notes inatosha...ntakukarbisha nkimaliza uje kuona chet chenye First Class GPA na makampuni makubwa yakinigombania...
 
Vipi lugha ya "Juche", bado inatumika hapo?.😀😀
 
Walimu wazinguaji,modules kibao kwa semester,Theory kibao kuliko practicals……Kikubwa na kibaya zaidi unaweza ukagraduate hujui chochote!!Kwenye suala la ajira ndio sitaki kuzungumza kabisa.

Wewe uko sawa kabisa mi nilikuwa pale 2012 nikaona miyeyusho miingii nikasepa zangu.
 
Ucnionee huruma brother..
Naipenda DIT naipenda COM ENG...nlipotoka nmesoma masomo 10 kwa semister cdhan kama yatazidi hayo na nna background nzur ya programming and electronics...ctegemei sana walimu kama wanatoa notes inatosha...ntakukarbisha nkimaliza uje kuona chet chenye First Class GPA na makampuni makubwa yakinigombania...

Hahahahah haya bhana subiri ukifika pale utaniambia .

Dept ya comp pale imeoza hamna kitu watu wanaenda basi tu we ukienda pale lazima uwe plan mbadala la sivyo utagraduate lazima utaona kama umepita tu.
 
Nmechaguliwa Mechanical Eng Nna Mpango Nkifka Nihame 2 Electrcl Eng Inawezekana Na Je Ipo Poa ?
 
Ili la hostel tunaomba jibu makini ie tunaombaje, unapataje?

Kwenye joining instructions inaonyesha unaomba but hatujui lini, na wanatumia vigezo vipi tupata hiyo hostel
 
Back
Top Bottom