Foundation course yenyewe ilikuwa lazima upate D ya masomo ya science zote. DIT sio mchezo mchezo usije ukamwona mwanafunzi wa DIT anatembea na Kandambili POSTA washavurugwa ila naona siku hzi kuna mashalobalo DIT wagumu wamepungua sana maana kipind cha nyuma DIT MWAMASU alikuwa anatoka MWANZA na nguo 4(suruali 2 na shrt 2) anasurvive nazo mpaka semister inaisha. Kupigwa SUPP 8 jambo la kawaida sanaKwa masomo ya sayansi ishakula kwangu. Hakuna foundation course?
Matiku ni dr sasa hivi telecom deptnae alikutanaga na kichwa hicho kilikua kinapiga pepa zake kama maji ya kunywa, si unamjua alie weka G.P.A kubwa kuliko zote hapo, jamaa alikua anaitwa Matiku
unatania wewe..rudi tena kacheki iyo web apana chezea wazee wa engineeringNimeingia kwenye website yao. Very, very shallow, inazidiwa hata na website za baadhi ya Vocational Training Centers! Hakuna cha prospectus wala nini, hiyo Prospectus itakuwa shughli kuipata!
Sio Dr. Saanane? Yule mzee ni shida. Kanipa tabu sanaSpecial machine siku hizi anafundisha Dr.Karugaba ambaye ni HoD
Hahaha Mwamasu hua wana mambo ya ajabu sana aisee, siku hizi mpaka serikali ya wanafunzi wanaongoza waoFoundation course yenyewe ilikuwa lazima upate D ya masomo ya science zote. DIT sio mchezo mchezo usije ukamwona mwanafunzi wa DIT anatembea na Kandambili POSTA washavurugwa ila naona siku hzi kuna mashalobalo DIT wagumu wamepungua sana maana kipind cha nyuma DIT MWAMASU alikuwa anatoka MWANZA na nguo 4(suruali 2 na shrt 2) anasurvive nazo mpaka semister inaisha. Kupigwa SUPP 8 jambo la kawaida sana
Dr. Sanane amestaafu.Sio Dr. Saanane? Yule mzee ni shida. Kanipa tabu sana
UshahidiHii thread inanipa raha, nafurahi kuona kuna DIT wengi ndani ya jamiiforums.
Ukweli ni kuwa DIT ni chuo pekee kinachotoa elimu bora ya engineering Tanzania, hata mlimani mbele ya DIT hawaoni ndani.
Siandiki kwa ushabiki bali nimeona mwenyewe sababu nimebahatika kufundisha na kusaili wanafunzi toka vyuo tofauti.
Long live DIT.
wanaweza kuapply lakini kusoma diploma, kimsingi PCB unakua hujasoma advanced mathematics, unasoma Bam tuuIvi kwa nini pcb takers hawawezi kuapply apo DIT
Hii namba 3 imeanza lini tena? Kuna haja Dit yetu waanzishe masters za highway na structural EngineeringKwa wale applicants wa masters dirisha liko wazi kwa,
1.master of engineering in maintenance management
2.master of computational science and engineering
3.master of engineering in suistanable energy engineering.
Hii namba 3 imeanza lini tena? Kuna haja Dit yetu waanzishe masters za highway na structural Engineering
Duuu sawa mkuuwanaweza kuapply lakini kusoma diploma, kimsingi PCB unakua hujasoma advanced mathematics, unasoma Bam tuu
Ni ya Mambo ya viwandanHi Wadau, Samahani, Naomba Mnieleze Kuhusu Hii Kozi BACHELOR OF LABORATORY SCIENCE AND TECHNOLOGY ya hapo DIT inahusu nini hasa, maana nimechaguliwa kusoma hiyo lakini sijaijua vizuri.
Hivi apo DIT kuna Automobile engineering?
Computer Engineering, but uwe CompetentNaomba kuuliza wakuu ivi kozi gani kat ya computer eng na civil eng ipo ni best na ina sokoo kubwa kwa sasa