Kwa nini msiandamane mpaka kieleweke?
Alafu watu wa Dar wanavyopenda kujifanya sophisticated wakienda mikoani! Utadhani wanaishi mbinguni. Lakini sijaona mji wa kipumbavu kama Dar. Maji shida, vumbi kibao, foleni! Its a fu*** joke of a city!
afadhali yenu nyinyi ambao hata maji mnapata mimi sijawahi kuona maji bombani kwangu na majuzi tu walikuja kunifungia bomba wenyewe wanasema la mchina lakini kavu vilevile. Hii ndio tanzania na miaka 50 ya uhuru no maji wala umeme wa uhakika
Taarifa ilitoka kuwa yatakatika hadi j2 then j3 yatatoka. But hadi sasa hv ninapoandika hii coment hayajatoka. Dar ni mji wa kijinga sana na wananchi wake wanajifanya wapo bize na maisha bila kujali mahitaji muhimu. Kama mji huu ungekuwa na raia makini na wapambanaji basi kuikombo nchi hii kutoka kwa mafisadi ingekuwa kazi rahisi mno!
Taarifa ilitoka kuwa yatakatika hadi j2 then j3 yatatoka. But hadi sasa hv ninapoandika hii coment hayajatoka. Dar ni mji wa kijinga sana na wananchi wake wanajifanya wapo bize na maisha bila kujali mahitaji muhimu. Kama mji huu ungekuwa na raia makini na wapambanaji basi kuikombo nchi hii kutoka kwa mafisadi ingekuwa kazi rahisi mno!
Asante! Nadhani tatizo ni mkusanyiko mkubwa wa watu wa kila aina. Wengi wao wametoka sehemu ambazo maji kutoka bombani ni ndoto. Kwa hiyo kutokuwa na maji ni jambo la kawaida tu! Yani wamezoea shida!!
Kwa nini msiandamane mpaka kieleweke?
Alafu watu wa Dar wanavyopenda kujifanya sophisticated wakienda mikoani! Utadhani wanaishi mbinguni. Lakini sijaona mji wa kipumbavu kama Dar. Maji shida, vumbi kibao, foleni! Its a fu*** joke of a city!
Plus..Usafiri shida, Joto, Uchafu et al......
Njooni Arusha au hamieni mikoa mingine...Dar kuna nini hicho mnachong'ang'ania! Dar wasn't ready for abrupt urbanisation, miundombinu zero!
Taarifa ilitoka kuwa yatakatika hadi j2 then j3 yatatoka. But hadi sasa hv ninapoandika hii coment hayajatoka. Dar ni mji wa kijinga sana na wananchi wake wanajifanya wapo bize na maisha bila kujali mahitaji muhimu. Kama mji huu ungekuwa na raia makini na wapambanaji basi kuikombo nchi hii kutoka kwa mafisadi ingekuwa kazi rahisi mno!
SIKU YA TATU? MIE NINAKOISHI MARA YA MWISHO KUPATA MAJI YAO(KIPINDI KILE WALIKUA WANAITWA NUWA) NI MWAKA 1990, NOWADAYS THANX KWA VISIMA VIREFU NISHAWASAHAU KAMA KUNA HUDUMA YA MAJI:juggle: