shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Yaani ......hebu niishie hapa nisijeonekana sina ubinadamu bure.
Shame to you; yaani unafurahia watanzania kuuawa? hapo tu bila kuchangia zaidi imeonekana msimamo wako wa jambo hili. siasa zititufikishe huku jamani, tusishangilie majambazi kuua majambazi, vyama vya siasa muwe makini, majambazi wanaweza kuaharibu jambo zuri la kutafuta haki. hivyi muwe makini na kauli zenu ktk matokeo km haya.