Daniel Chongolo awa Katibu Mkuu CCM

Huyu anakijua sana chama.na chama kiko damuni toka zamani.kumbe ccm wanawajua walio wa kwao
 
DANIEL GODFREY CHONGOLO Alikuwa Makao Makuu ya Chama Enzi Ya Akina Nape, Chongolo alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano kwa Umma kilichokuwa chini ya idara ya Sera na Uenezi(Kitengo cha Propaganda).
Kumbe jamaa mzoefu kwenye Chama.
 
Wacheni Mungu aitwe Mungu,Makonda aliwahi kumkoromea vibaya sana huyu jamaa, sasa leo hii Makonda alitaka kumuona lazima aombe appointment.View attachment 1769200
Hapa ndiyo namkumbuka marehemu Ruge mutahaba alipotamka kuwa "ogopa Mungu na teknolojia " , Sasa kazi iliyobaki ni kuumbuka. Aidha JK alishawahi kuwaasa viongozi kuacha kuwanyanyasa na kuwadharirisha wenzao sababu huwezi jua kesho watakuwa nani!, Makonda nafikiri amepata funzo kwa ujinga wake
 
kwani Bashiru Ally Kakurwa anasemaje?
 
Hallelujah!!!!!
 
Mimi nilipinga uteuzi wa Bashiru Ally waziwazi na humu na napinga uteuzi wa chongolo sio sahihi kabisa .Let every body take note
Kwanin unapinga? We una fikiri nani anastahili hapo na kwanin
 
Nyalandu alikuwa outsider ndiyo maana tulimnyima kura kugombea Urais. Chadema ipo tena ipo sana. Kwa mataahira tu ndiyo wanaona kama wewe
Sababu ya upepo wa Lissu, vinginevyo angepewa kugombea. Kwani kwa Lowassa ilikuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…