SHIKAMOO PESA
Member
- Aug 13, 2014
- 91
- 10
Jf habari za majukumu.
Jaman kuna rafiki yangu amepatwa na tatizo la overbleeding tatizo hilo mpaka kufikia leo ni siku ya 14 amesha muona daktari lakini tatizo bado linaendelea imefikia hatua mpaka analia ameenda kuombewa kanisani.
Lakini bado kama kuna anayejua njia mbadala ya kumsaidia please naomba msaada wako ili kumnusuru huyu dada maanake mpaka sasa amefikia hatua anasema tatizo hilo kama litaendelea mwezi mzima anasema atajiua kiukweli imeniuma sana mwanamke kufikia hatua hiyo naomba tuokoe maisha ya Mtanzania mwenzetu please.
Jaman kuna rafiki yangu amepatwa na tatizo la overbleeding tatizo hilo mpaka kufikia leo ni siku ya 14 amesha muona daktari lakini tatizo bado linaendelea imefikia hatua mpaka analia ameenda kuombewa kanisani.
Lakini bado kama kuna anayejua njia mbadala ya kumsaidia please naomba msaada wako ili kumnusuru huyu dada maanake mpaka sasa amefikia hatua anasema tatizo hilo kama litaendelea mwezi mzima anasema atajiua kiukweli imeniuma sana mwanamke kufikia hatua hiyo naomba tuokoe maisha ya Mtanzania mwenzetu please.