Jipu halifunikiki, hakika kuna short mahali huu umeme umekatikia njiani. Wataalam tuambieni kulikoni?? Hivi, huko hazina kuna hela kweli?? Hizo mnajengea viwanja na sgr zipo na nyongeza ya haya maroroso mengine?? Nawaza kwa sauti tu. Nadhani kuna mahali nyaya zimekatika na mawasiliano hayapo vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.