Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
TUNAOMBA TUWEKEWE hapa MAJINA YAKE YOTE MATATU kwa ajili ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo .
CDM kalenga chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Yeriko ni kanjanja na kibaraka anayeongoza kwa kupost mada za uongo, uzushi na propaganda humu jukwaani
Kuweka kumbukumbu sawa RSO ndio katibu wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa kwa hiyo hauwezi kumwambia RPC ndio Mkubwa kuliko RSO
Yeye kasema RCO wewe RSO inatoka wapi?
Machadema acheni uhuni, mnaanza kujihami baada ya mipango yenu haramu ya kupanga mauwaji kuumbuka ee
Chadema imejiandaa kumwaga damu kalenga sasa wanaandaa mazingira
Nina wasiwasi na Utaifa wako. Utakuwa umepata Uraia wa Tanzania kwa kuomba wewe, unawaza CCM Vs Chadema tu muda wote. Hii ni nchi yetu sote, na sote tuna haki sawa.
mkuu yericko mangu ana uwezo wa kumwajibisha RSO yeye anawork under DG wa TISS