Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Wakuu kwanza nimpongeze RPC Mungi kwakusimamia miiko ya kazi ya upolisi hapo Iringa,
Lakini tatizo lipo kwa huyu RCO, huyu anatumika waziwazi na ccm, kiasi kwamba sasa anapingana na bosi wake ambaeni ni RPC waziwazi,
Amehujumu maamuzi ya RPC kwa kiwango kikubwa, na zaidi anajichukulia maamuzi yake bila kufuata taratibu za kiutawala na kiutendaji.
Mfano jana kavamia ngome ya Chadema akiwa na makada wa ccm anadai amepata taarifa chadema ina mabomu na smg, alipoombwa kibali cha kuja kukagua akawa hana, hivyo akazuiwa na kutaka kuanzisha fujo zisizo na ulazima, mpaka alipopewa taarifa Rpc na kuingilia kati suala hilo na yeye akatokomea na wahuni wenzake,
Matukio mengine madogomadogo anayoyafanya hapa kalenga yanaweza kizaa umwagaji damu hapo kesho au keshokutwa asipodhibitiwa huyu RCO,
IGP Ernest Mangu muwajibishe huyu mtu.
Lakini tatizo lipo kwa huyu RCO, huyu anatumika waziwazi na ccm, kiasi kwamba sasa anapingana na bosi wake ambaeni ni RPC waziwazi,
Amehujumu maamuzi ya RPC kwa kiwango kikubwa, na zaidi anajichukulia maamuzi yake bila kufuata taratibu za kiutawala na kiutendaji.
Mfano jana kavamia ngome ya Chadema akiwa na makada wa ccm anadai amepata taarifa chadema ina mabomu na smg, alipoombwa kibali cha kuja kukagua akawa hana, hivyo akazuiwa na kutaka kuanzisha fujo zisizo na ulazima, mpaka alipopewa taarifa Rpc na kuingilia kati suala hilo na yeye akatokomea na wahuni wenzake,
Matukio mengine madogomadogo anayoyafanya hapa kalenga yanaweza kizaa umwagaji damu hapo kesho au keshokutwa asipodhibitiwa huyu RCO,
IGP Ernest Mangu muwajibishe huyu mtu.