Damian Kanuti wa ITV afariki dunia

nevilletz@gmail.com
9:41 PM (0 minutes ago)
cleardot.gif


cleardot.gif

cleardot.gif

to mabadilikotanz.

cleardot.gif

Taarifa zilizopo ni kwamba, mwandishi wa habari aliyefariki dunia ni Rashid Kanga wa ITV Mtwara. Amefariki alfajiri ya leo, na amezikwa leo jioni huko Masasi mkoa wa Mtwara.

Sina kumbukumbu ya mtanhazaji wa Daniel Kanuti wa ITV bali Damian Kanuti ambaye alifariki siku nyingi kidogo zilizopita. Kama kuna kifo kingine cha mwandishi wa ITV kufia Dar, basi mwenye rekodi sahihi atufahamishe!
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
 
Nami naungana na wenzangu wana jamii forums kuwapa pole ndugu wa karibu wa marehemu mtangazaji wa Radio One na ITV
Mungu awapatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Amina
 
Back
Top Bottom