King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,374
- 88,597
Alikuwa anasumbuliwa na nini? R.I.P BRAZA
Ugonjwa wa ini kwa mda mrefu
Source:radio one-Nipashe
Alikuwa anasumbuliwa na nini? R.I.P BRAZA
Mwandishi wa habari ITV na radio+one DAMIAN KANUTI amefariki dunia katika hosptali ya taifa muhimbili leo