Naxria abdalla
Senior Member
- Feb 28, 2025
- 158
- 281
Hamjambo natumai mupo wazima naomba kueleweshwa ni zipi dalili za ugonjwa au h-pylori, maana natamani kwenda kupima huu ugonjwa kutokana na homa za mara kwa mara zinazonikabili ila niliwahi kuskia watu wanaongea kwamba huu ugonjwa unatokana na matumbo
Namaanisha tumbo likiwa linauma ndio unapaswa kwenda kupima
Naomba munieleweshe kwa anaejua
Namaanisha tumbo likiwa linauma ndio unapaswa kwenda kupima
Naomba munieleweshe kwa anaejua