Dalili za TB

Caroline Danzi

JF-Expert Member
Dec 19, 2008
3,713
1,263
Salaam.

Kwa wenye uelewa naomba mnipe dalili za mwanzo za TB

Nitashukuru kwa msaada wenu.

CD
 
Dalili za kifua kikuu ni kama zifuatazo:
Kukohoa mfululizo kwa muda wa wiki mbili au zaidi
Kutoa makohozi mazito au yaliyochanganyika na damu
Kutokwa na jasho jingi kuliko kawaida usiku wakati mtu amelala
Maumivu ya kufua
Kukosa hamu ya kula
kukonda na kupungua uzito wa mwili
Mwili kunyong'onyea na kuhisi uchovu bila ya sababu maalumu
Homa za wakati wa jioni
Kuishiwa na pumzi au kupumua kwa shida
 
Dalili za kifua kikuu ni kama zifuatazo:
Kukohoa mfululizo kwa muda wa wiki mbili au zaidi
Kutoa makohozi mazito au yaliyochanganyika na damu
Kutokwa na jasho jingi kuliko kawaida usiku wakati mtu amelala
Maumivu ya kufua
Kukosa hamu ya kula
kukonda na kupungua uzito wa mwili
Mwili kunyong'onyea na kuhisi uchovu bila ya sababu maalumu
Homa za wakati wa jioni
Kuishiwa na pumzi au kupumua kwa shida

Asante sana mpendwa. Ubarikiwe sana.

CD
 
Back
Top Bottom