mkibunga
Senior Member
- Nov 17, 2010
- 196
- 25
jamani ulishaona mtu anayekaribia kufa anavyotapatapa! je unajua dalili za taifa linalokufa? kama Tanzania
1.huagiza vyakula vibovu vyenye sumu ili watu wake wafe
2. huagiza wataalamu toka nje huku wa ndani hawathaminiwi
3.huwa na mawaziri wazee waliochoka kazi yao ni kusinzia kazini km bungeni
4. huwa na mwanasheria mbumbumbu anayetamani vyama vya upinzani vife
5. huwa na rais asiye tulia nchini
6.huwa na wasomi wa phD za kupewa
7...................
8.............
9............
10................
naomba kuwasilisha
1.huagiza vyakula vibovu vyenye sumu ili watu wake wafe
2. huagiza wataalamu toka nje huku wa ndani hawathaminiwi
3.huwa na mawaziri wazee waliochoka kazi yao ni kusinzia kazini km bungeni
4. huwa na mwanasheria mbumbumbu anayetamani vyama vya upinzani vife
5. huwa na rais asiye tulia nchini
6.huwa na wasomi wa phD za kupewa
7...................
8.............
9............
10................
naomba kuwasilisha