Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,148
- 159,071
Hahahha
Ila auntie ameongea ukweli mtupu mwanamke akikuchoka utajuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahha
Ila auntie ameongea ukweli mtupu mwanamke akikuchoka utajuta
Utajuta
Na mwanaume akikuchoka inakuaje hapo?
Haujakutana na majambazi ya mapenzi wewe badoHamna Mwanamke chini ya jua anaweza kumchoka mwanaume pasipo idhini ya mwanaume.ukiona unachokwa jua umependa wewe iwe hivyo au umeshindwa kutimiza wajibu wako kwa hiyo mwanamke iaidha kwa kufahamu au kutokufahamu.
Hii comment iwekwe jumba la Makumbusho ya Taifa
Hapo! hapo! ndo pa kumpatia mimba km tatu hivi!! then mwambie ukweli kuwa ''naona hunitaki ondoka na wanao''! Kila mtu na zake!Atakukera makusudi mfano kupost mwanamme/mwanamke ili kusudi ukasirike