miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
haaaa,pombe mbaya,kwanza ukilewa kila demu mzuri,unajua yote,alaf sifa kuu ya mlevi ni live for the moment,hakuna kesho
Yah that good for as
haaaa,pombe mbaya,kwanza ukilewa kila demu mzuri,unajua yote,alaf sifa kuu ya mlevi ni live for the moment,hakuna kesho
hapo umenikuna kasaaaaa
akikumbuka mambo ya zamani anaanza kulia, mi kuna jamaa yangu akilewa tu hapo baa utafikiri pametokea msiba analia mpaka unaweza kumramba makofi.