Siku ya kwanza fika stendi nauliza stendi ya daladala kumbe ndo nipo stendi
Hahahah. Umeua. Ni kweli, huku bara zilikuwepo miaka ya '90 na ziliitwa chai MaharageHizo daladala hata huku bara zilikuwepo miaka ya nyuma, kizazi hiki cha fb, instagram na whatsapp hawazijui!
Ndio zenyewe hizo...Hizi ndio zinaitwa chai maharage au sio