Daladala za Zenji

Daladala za Zenji

Wanaruhusiwa kusimamisha abiria? Maana sioni aliyesimama kati atashikilia wapi. Na je wamezuiwa kutumia mabasi? Je kwa wamiliki wa hizo biashara ipi ni faida kwao kutumia hizo canter au bus ?
"kusimamisha abiria"?
 
18ba230367e40f7163050ac4a19a8383.jpg
Hivi gari miaka ya 2009 zilikuwepo sana tu nilikuwa naziona kitunda zinashusha abiria sijui walikuwa wanatokea wapi, labda Kisarawe. Alafu night unazikuta buruguni zinasanya
 
Back
Top Bottom