mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,419
- 17,758
hapo gari ikiyumba lazima kupigana vichwa
"kusimamisha abiria"?Wanaruhusiwa kusimamisha abiria? Maana sioni aliyesimama kati atashikilia wapi. Na je wamezuiwa kutumia mabasi? Je kwa wamiliki wa hizo biashara ipi ni faida kwao kutumia hizo canter au bus ?
Hivi gari miaka ya 2009 zilikuwepo sana tu nilikuwa naziona kitunda zinashusha abiria sijui walikuwa wanatokea wapi, labda Kisarawe. Alafu night unazikuta buruguni zinasanya
Hahaha Hahaha hamgongani vichwahapo gari ikiyumba lazima kupigana vichwa