Tena bodi zake alitengeneza baba yake yusuf manjiHizo daladala hata huku bara zilikuwepo miaka ya nyuma, kizazi hiki cha fb, instagram na whatsapp hawazijui!
Tena bodi zake alitengeneza baba yake yusuf manjiHizo daladala hata huku bara zilikuwepo miaka ya nyuma, kizazi hiki cha fb, instagram na whatsapp hawazijui!
Hawasimami ila pale kati ambapo pako wazi gari ikijaa wanachuchumaaWanaruhusiwa kusimamisha abiria? Maana sioni aliyesimama kati atashikilia wapi. Na je wamezuiwa kutumia mabasi? Je kwa wamiliki wa hizo biashara ipi ni faida kwao kutumia hizo canter au bus ?
Hivi unahabari mwenye kitengo hicho kesharudi?Joseverest
Humo ndani unaambiwa mnakaa abiria 20 ...usiombe wapande wenye miili yao ...mtajibana kama ndiz kwenye chana....NA ukishuka tu paracetamol utaitafuta
Zipo, ukitaka kwenda paje, kizimkazi, wewe tuHivi mpaka leo bado zipo
Nakumbuka miaka flani nipo katoto tunaenda likizo kumtembelea dada nimepanda sana hizoZipo, ukitaka kwenda paje, kizimkazi, wewe tu
ni kweli salaam ni kawaida na hata mimi mwanzo nilishangaa ila kwa sasa nimezoea,Ukiingia Kabla ya kukaa salimia Asalamalekhum kwa unaowakuta ndani.
Yeah upo right mkuu hata ubavuni wameandika abiria 20Humo ndani unaambiwa mnakaa abiria 20 ...usiombe wapande wenye miili yao ...mtajibana kama ndiz kwenye chana....NA ukishuka tu paracetamol utaitafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Abiria wanazidishwa Ila hawasimami wanachuchumaa hapo kati. Kuhusu kwanini Canter na sio basi, sababu niliyopewa ni kuwa Canter zinaweza fungashwa mzigo wa kutosha juu kuliko vipanya au coster maana hayo magari (chai maharage) yanapiga ruti za shamba.Wanaruhusiwa kusimamisha abiria? Maana sioni aliyesimama kati atashikilia wapi. Na je wamezuiwa kutumia mabasi? Je kwa wamiliki wa hizo biashara ipi ni faida kwao kutumia hizo canter au bus ?
Mbona mm nikiingia sisalimiini kweli salaam ni kawaida na hata mimi mwanzo nilishangaa ila kwa sasa nimezoea,
uamuzi wako tu,ila wenyewe hapa chukwani tumeshazoea
Abiria wanazidishwa Ila hawasimami wanachuchumaa hapo kati. Kuhusu kwanini Canter na sio basi, sababu niliyopewa ni kuwa Canter zinaweza fungashwa mzigo wa kutosha juu kuliko vipanya au coster maana hayo magari (chai maharage) yanapiga ruti za shamba.
N.B: coaster pia zipo hasa ruti za kaskazini.