kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
wadau baada ya kuwadondoshea thread iliyohusu kuhitaji ajira usalama wa taifa,hapa tena nashusha nyingine.
kwa wale wenzangu na mimi wanaoutumia usafiri wa daladala sio wageni wa hili jambo.mimi sio shabiki wa mziki wa taarab.iwe asilia,modern
na hata hii ya sasa ya wacheza KIDUKU(sijui wenyewe wanaiitaje).karibu daladala zote haijalishi ni za root ya wapi-kutwa ni kupigiwa
taarab tuu mpaka kero.tangu ningali mtoto mpaka sasa nimekuwa nikichukulia mziki huu kuwa ni wa kinamama-kutambiana,kuonyeshana umwamba,jeuri,mikogo nk.madereva wa daladala/makondakta nao tuwaingize kwenye kundi lipi?nawasilisha.Big tym,week end njema.
kwa wale wenzangu na mimi wanaoutumia usafiri wa daladala sio wageni wa hili jambo.mimi sio shabiki wa mziki wa taarab.iwe asilia,modern
na hata hii ya sasa ya wacheza KIDUKU(sijui wenyewe wanaiitaje).karibu daladala zote haijalishi ni za root ya wapi-kutwa ni kupigiwa
taarab tuu mpaka kero.tangu ningali mtoto mpaka sasa nimekuwa nikichukulia mziki huu kuwa ni wa kinamama-kutambiana,kuonyeshana umwamba,jeuri,mikogo nk.madereva wa daladala/makondakta nao tuwaingize kwenye kundi lipi?nawasilisha.Big tym,week end njema.