Dotto Mnzava
R I P
- Mar 6, 2014
- 865
- 427
Breaking news - Daladala za Arusha kwa mrombo zagoma, abiria wateseka, watembea kwa miguu kuja mjini.
Chanzo cha daladala kugoma ninini?Sumatra wanasemaje? Polisi nao wameshindwa kuwasikiliza au kuna tatizo gani?