Ndio maana yake. Kuna wale ambao hawanywi kabisa kwa upande mmoja na wale ambao wanakunywa mapipa ya pombe kwa upande mwingine.Kwahiyo nyie walevi mmeamua kujumlisha pombe mnazokunywa, mkatugawia kila mtanzania🙆🙆🙆
Hapana, wewe ni Mtanzania asiyetumia pombe. Hiyo idadi ya nusu ndoo ni wastani wa pombe ambayo hunywewa kwa mwaka kwa kuchukua pombe yote iliyonywewa kwa mwaka na kuigawanya kwa idadi ya watu wote waliopo nchini. Kwa hali hiyo basi kuna watu hawanywi kabisa na wengine hunywa kiasi cha pipa moja au zaidi kwa mwaka!Yawezekana mimi sio Mtanzania aieee
Utafiti upo sawa. Wewe ulikunywa pipa zako mbili lakini wapo wengine 40 hivi ambao hawakunywa kabisa. Kiasi hicho ni wastani tu kwa kila mwananchi.Napinga huu utafiti, huyo Dr mbona kama ametupunja sana...🙄
Utafiti wa kitoto na kijinga, mtu anapiga simu kampuni za kuzalisha pombe halafu anagawia kila mtanzania eti anaita utafiti."Kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika,"- Dkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza @wizara_afyatz
#EastAfricaTV
#WizaraYaAfya
Sawa mkuu, mingoja niendelee kujitundika dripu maana takwimu bado zinasoma minimam...😊Utafiti upo sawa. Wewe ulikunywa pipa zako mbili lakini wapo wengine 40 hivi ambao hawakunywa kabisa. Kiasi hicho ni wastani tu kwa kila mwananchi.
Dkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza amesema kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika.
View: https://www.instagram.com/p/CxLnDERqco0/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take:
Ndio maana Hii Nchi Ina Watu Wana matukio ya ajabu sana kumbe tatizo ni pombe na bangi kupanda kichwani, duu.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1697592548825436655?t=GX9Td4cB57EdXXp4_D4F3A&s=19
🤣🤣🤣 hata mimi nimeshangaa!!!Sasa ndoo ndogo nayo ya kulalamikia?
Hiyo ndoo ndogo watu wanaikata kwa siku.
We endelea tu kujitundika Hadi kieleweke.Sawa mkuu, mingoja niendelee kujitundika dripu maana takwimu bado zinasoma minimam...😊