Daktari natafuta kazi

Daktari natafuta kazi

Sasa kina machokuvimba wa public relation watafanyaje??
 
Ina maana uliacha kazi ,
Vipi tena unatafuta kazi ??

Ulipata vipi registration ?

Registered MD ni baada ya mafunzo kwa vitendo ,hiyo ina maana anaruhusiwa kufanya kazi na anatambuliwa na wizara pamoja na bodi ya madaktari mkuu.
 
Registered MD ni baada ya mafunzo kwa vitendo ,hiyo ina maana anaruhusiwa kufanya kazi na anatambuliwa na wizara pamoja na bodi ya madaktari mkuu.
Temporary ndo neno sahihi
Kupata full registration ni lazima ufanye kazi si chini ya miaka miwili under supervision
 
mwisho wa maswali yenu n nn?? kumchora au kumpa mchongo Dr VIP USBA pata kaz??
 
Asee umejitahidi kujibu maswali mengi, ila taarifa za wapi utapewa kazi naona chache, komaa hivyo hivyo utapata
 
Jamani hili suala la ajira ni tatizo sugu na hivi Sasa limefikia hadi kwenye sekta nyeti ya afya.....serikali ifungulie tu hizi ajira hususani sekta ya afya kwa takwimu za haraka haraka kuna madaktari zaidi 1800 ambao wamemaliza internship mwaka Jana na mwaka huu wamekaa tu nyumbani.
 
We ni daktari feki au vp? Maana watu hata wenye basic certificate ya clinical medicine sijawahi sikia wana tapatapa Kama ww na MD yako sijui ya nchi gani hio, utakuwa hauko sawa wewe..!!!

Nina wasiwasi Na vyeti vyako mkuu
 
Wewe kabon14 hebu tuambie waliomalza mwezi wakumi mwaka jana internship na waliomaliza wezi huu ajira zao zimetoka lini? Wengi sana hawajapata ajira iwe serikalini au private, wachache wao wamepata private. Jinsi ya kupata private unaweza kufika physically, kutuma barua au kutumia mitandao yakijamii kama daktari alivyo fanya, nahaya ndiyo matumizi bora ya mitandao ya kijamii
 
Kwa yeyote anayehitaji daktari Morogoro mjini au sehemu yeyote,nipo natafuta kazi,nina uzoefu wa mwaka 1 baada ya kumaliza mafunzo ya vitendo,ni mchapa kazi na naweza fanya kazi bila kusimamiwa,kwa mawasiliano zaidi njoo pm
Dah....Dokta wa kazi wa kazi maalum
 
kwani mkulu si alisema ameanza kuajiri madaktari ww vipi tena?
 
We ni daktari feki au vp? Maana watu hata wenye basic certificate ya clinical medicine sijawahi sikia wana tapatapa Kama ww na MD yako sijui ya nchi gani hio, utakuwa hauko sawa wewe..!!!

Nina wasiwasi Na vyeti vyako mkuu
Ahsante,nashukuru kwa maoni yako mkuu...
 
, ukitoka to nje ya nchi ha ha ha mnyamaaaa trump ukirudi tu tz mjomba Magu, Asante usiempenda kaja kwako kulala
 
Tunaendelea na zoezi la uhakiki. Tukimaliza tutaajiri wachache na wengine wasubirie bajeti ijayo tuajiri tena wachache hivyo hivyo hadi muishe. Umenielewa bibie!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom