Daktari: Diamond Anamuua Baba’ke!

Kama alimtelekeza mama na mwanae, na pengine akaenda kutanua na malaya barabarani aachwe tu kama alivyowaacha yeye bila huruma.
 
kama umeomba msamaha mara zote hizo mtu akashndwa kuelewa just move on mzee.....nenda katubu kwa Mungu wako msikitini yeye atakusamehe la msingi umeshajutia kosa lako baba
 
Daaaah!!! Nikiyakumbuka yale mahaba yako hadi nyege zinapanda dear!!.....Wewe ni kiboko, may God bless you!

Wow naona umeniota haswa hadi umeshindwa kuvumilia na kuamua kuniandikia, endelea tu na ndoto hewa. Kwa avatar yangu na u black beauty sikushangai ndugu kwa kuniwazia kimahaba.
 
Huyo baba anahangaika tu... vipi diamond angekua hana pesa?? je huyo jamaa angesema mwanae anamuua??

Tena akufwee, akufwe kabisa
 
Kitanda usicholalia hujui kunguni wake. Huyo baba acha akinywee kikombe cha uharibifu wake.

Aliyoyapitia Diamond katika maisha ya ukuaji wake anayajua mwenyewe. Kama Shigongo anamuonea huruma amsaidie. Si anatoa habari zake kila siku na zinauzika... amgawie hela kidogo ya mauzo akatibiwe kama kweli anaumwa.

Aligombana na mke kwa nini alitelekeza watoto. Si angeendelea kulea watoto. Au baada ya Diamond kukua na kupata hela bifu limeisha kwa upande wake. Vipi mateso aliyoyasababisha alipowatelekeza. Akale nyasi huko asichoshe watu... kalikoroga wacha alinywe!!!!
 
Shigongo akikosa habari anafukua ya babake diamond tu akijua atauza magazeti.
 
Dangote

Dangote

Dangote


Naomba umsaidie dingi mana anadhalikika saiv apooo
Dangote
 
baba diamond ni mshenzi sana.. mtu kulea ukwepe ila wewe utake kulelewa na mtoto...

mtu kama huyu unamtupa kwenye dust bin tu... whats goes around comes around
 
kusamehe na kusahau ni jambo la msingi,,,maumivu yanakuwepo ila yatupasa kusameheana na kupatana kabla jua halijatwama
 
Daktari anasoma magazeti ya udaku. Hao ndio wale wanaotoa mimba.
 
Dangote wala usisikilize ushauri wa kutoa msamaha kwa huyo baba ako jina katanua weeeee zimemuishia ndo anarejesha majeshi aende kule akafie mbali
 
Kutoka kwenye chemba kubwa kubwa ya moyo wangu: INGEKUWA MIMI NDIO DIAMOND NINGEMSAMEHE BABA YANGU
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…