Daktari bingwa 3D anahitajika

Ulimwengu wa 'nyuma ya pazia' hauna huruma na wenye dharau Haya maneno yatakutesa siku ukikutana na ukweli.
Maneno yapi? Kwamba sio kila mtu atayakanyaga? Ndio ukweli huo ukipitia matatizo fulani unatamani kila mtu ayapitie ili unabii wako utimie! Matatizo yanazidiana na sio lazima ninachopitia mimi na mwingine atapitia! Kwamba kudharau ushirikina ndio niteseke? Duhh kazi ipo..
 
Kabla uzi haujafika 24/7 kimbilia bagamoyo chap, jifanye mjinga ishi hapo hata miezi mitatu ukisoma mazingira

Utakutana na wataalam fasta fasta
 
Baada ya kazi nenda hospitalini tuuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…