Eti kwani shingapi? Unalima zako unarudishwa kulala afu freshy tu! Mambo ya kuona visivyoonekana mimi ndio sitaki hayo mambo!Anamaanisha.
Lakini inasemekana ukipewa kisaidizi cha kuona mambo yaliyofichika unapewa na kisaidizi cha ujasiri wa kuyavumilia uyaonayo.
Ni kheri wanikanyage tu pasipo kuwaona😁.
As long as wanakurudisha salama zaidi ya uchovu tu wa hapa na pale😁.Eti kwani shingapi? Unalima zako unarudishwa kulala afu freshy tu! Mambo ya kuona visivyoonekana mimi ndio sitaki hayo mambo!
Saingine unaweza hata usichoke basi tu🤣As long as wanakurudisha salama zaidi ya uchovu tu wa hapa na pale😁.
😁😁😁Saingine unawez ahata usichoke basi tu🤣
teh! teh! teh! Kasema hataki wa kutoka mbali babu.Meksoma mujukulu wagu mimi nawesa kupa dawa na sidiko kuba san ata watu bakikufilikia fibaya banakufa benewe tu mi sitk ata siligi yako moja nikupe daw tu kwaza aya migine baaadaye Npo uku kigoma kazula miba
Kigoma sio bali ni sekude tu nipo apo anapotaka nikujeteh! teh! teh! Kasema hataki wa kutoka mbali babu.
huko ndo kuna wenyewe.Kigoma sio bali ni sekude tu nipo apo anapotaka nikuje
OohMkuu kwenye mambo hayo, hili ndo angalizo langu;
1) Kamwe usipambane kupata dawa ya kujua/kumuona mchawi
2) Mganga mzuri atakushauri usiweke zindiko kali mwilini kwako wala kwenye kaya yako.
KWANINI?
Kwa kufanya hivyo, unakaribisha vita na wachawi. Maana wakijua ya kuwa unaona siri zao ama wamekuja kwako kukutest wakakuta ukinzani, wataenda kuripoti kwa wakubwa zao kwamba huyu jamaa yuko fiti.
Hapo utawalazimisha kwenda chimbo kukutafutia dawa yenye level kali kuliko yako.
Utakuwa umejikaribishia vita kubwa na wachawi.
Chakufanya;
Tafuta dawa ya kumkatisha tamaa adui(mchawi) mwenye nia ovu na wewe. Yaani kila akipanga kukufanyia mabaya, ajikute kakata tamaa ama kusahau au kukudharau tu na kukupotezea.
Hii mbinu nilipewa na mzee mmoja konki ktk stori za hapa na pale.
Epuka kuchokoza mambo usiyo na utaalam nayo.
Uchawi ni taaluma za watu na husaidiana panapokuwa na ugumu.
Huu ni ushauri tu, mimi sijawahi practise mambo hayo na sitaki itokee.
Mimi sinaConnection mkuu
Kwamba kila mtu atayakanyaga? Poor mindset hii, kila mmoja ana njia zake usinitishe mkuu!Si bado unaishi ipo siku inaweza kutokea ukakanyaga tuh