Hizo ni fikra zako. Kuna jamaa tumesoma wote O level alikuwa anachukua masomo ya art na biashara, tukaingia naye Dar tech lakini yeye kaingia kwa jina la mtu mwingine kwa kuwa hakusoma science. lakini alikuwa anatupeleka sana, sikuamini kama ndo yeye, na alikuwa anafaulu vizuri sana.