PreGE2025 Dakika za jioooni, Eric Shigongo aweka umeme kwenye zahanati ya Kisiwa cha Soswa, Buchosa

PreGE2025 Dakika za jioooni, Eric Shigongo aweka umeme kwenye zahanati ya Kisiwa cha Soswa, Buchosa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameweka umeme kwenye zahanati ya Kisiwa cha Soswa iliyopo katika jimbo hilo na kumaliza kero ya muda mrefu ya wanawake kujifungua kwa msaada wa mwanga wa tochi, iliyokuwa ikiwakabili wananchi hao

Hatua hiyo imepongezwa na wananchi wa Kisiwa cha Soswa ambapo wamesema kuwa ni hatua kubwa ya maendeleo kwenye kisiwa hicho yaliyofanywa na Mbunge Shigongo

Shigongo amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa kutimiza ahadi alizowaahidi wananchi wakati anaomba ridha ya kuwatumia

Soma pia: Wananchi Buchosa wameshukuru na kumpongeza Mbunge wao Eric Shigongo kwa miradi ya maendelea, wametoa mitano tena

- Eric Shigongo: Rais Samia kutoa Billioni 8 kujenga kivuko kipya na kuongezeka kwa vivuko vinne Buchosa

-

shig.png
 
Wakuu

Ama hakika ubunge unatafutwa kwa nguvu zote, tangu 2020 baada ya kuwa wamechaguliwa hatukuwahi sikia wala kuona mikikimikiki ya wabunge majimboni kama ilivyo sasa. Mfano mzuri ni huyu Erick Shigongo, huu muda unatumiwa kulaghai wananchi ili wachaguliwe tena then wanapotea mazima miaka mitano tena. Tusikubaliiii:AAAA:
===

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameweka umeme kwenye zahanati ya Kisiwa cha Soswa iliyopo katika jimbo hilo na kumaliza kero ya muda mrefu ya wanawake kujifungua kwa msaada wa mwanga wa tochi, iliyokuwa ikiwakabili wananchi hao.

Hatua hiyo imepongezwa na wananchi wa Kisiwa cha Soswa ambapo wamesema kuwa ni hatua kubwa ya maendeleo kwenye kisiwa hicho yaliyofanywa na Mbunge Shigongo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Shigongo amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa kutimiza ahadi alizowaahidi wananchi wakati anaomba ridhaa ya kuwatumia.
1750945588812.png
Screenshot 2025-06-26 164558.png
 
Kuna siku mama moja huko katika pitapita zangu za kikampeni 2020 alimbana diwani wa eneo lao kwamba ana Nini Cha maana Cha wananchi kujivunia kwamba diwani amewasaidia? Jibu la diwani lilikuwa la kusikitisha sana akamjibu jamani wananchi si nimewanunulia ubwabwa? Au mmesahau? Nimewaletea maulidi mara mbili hapa na pilau juu mmesahau? Mama hapo mkumbushe mwenzio tulivyokula ubwabwa hapa pamoja!
 
Wakuu

Ama hakika ubunge unatafutwa kwa nguvu zote, tangu 2020 baada ya kuwa wamechaguliwa hatukuwahi sikia wala kuona mikikimikiki ya wabunge majimboni kama ilivyo sasa. Mfano mzuri ni huyu Erick Shigongo, huu muda unatumiwa kulaghai wananchi ili wachaguliwe tena then wanapotea mazima miaka mitano tena. Tusikubaliiii:AAAA:
===

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameweka umeme kwenye zahanati ya Kisiwa cha Soswa iliyopo katika jimbo hilo na kumaliza kero ya muda mrefu ya wanawake kujifungua kwa msaada wa mwanga wa tochi, iliyokuwa ikiwakabili wananchi hao.

Hatua hiyo imepongezwa na wananchi wa Kisiwa cha Soswa ambapo wamesema kuwa ni hatua kubwa ya maendeleo kwenye kisiwa hicho yaliyofanywa na Mbunge Shigongo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Shigongo amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa kutimiza ahadi alizowaahidi wananchi wakati anaomba ridhaa ya kuwatumia.
View attachment 3384659View attachment 3384663
Mi 5 tena kwake...
 
Back
Top Bottom