Dakika 45 ITV; Naibu waziri hakujiandaa?

Dakika 45 ITV; Naibu waziri hakujiandaa?

Huyu naibu waziri Mpina ndivyo alivyo au hakujiandaa ama ni nini! Hata ungeambiwa ni mjumbe wa nyumba kumi kwa jinsi anavyochemka huwezi kukubali,kumbe ukitaka kujua kwa nini Tanzania ni maskin,yapo mengi nyuma ya pazia.
Nami nilitaka kuanzisha uzi juu ya hilo.
Kwa kweli waziri huyu kachemka!

Amechukua muda mrefu kueleza kuchelewa kwa misaada toka nje utadhani hawezi kufikiri njia mbadala za kugharimia miradi ya mazingira zaidi ya kuwa tegemezi wa fedha za kodi za nchi nchi za ulaya.

Kwa kweli kifikra amejidhalilisha!

Mbaya zaidi katika suala la mifuko ya plastiki hana idea kabisa na kule anakoelekea, zaidi ya kusema wamesimama imara kusimamia zoezi la kupiga marufuku mifuko ya plastiki.

All rhetoric and no substance.
Nimeacha kusikiliza na kwenda kulala.
 
Huyu naibu waziri Mpina ndivyo alivyo au hakujiandaa ama ni nini! Hata ungeambiwa ni mjumbe wa nyumba kumi kwa jinsi anavyochemka huwezi kukubali,kumbe ukitaka kujua kwa nini Tanzania ni maskin,yapo mengi nyuma ya pazia.
Ebana, mistari yako nimecheka kinyama!
 
Tanzania,Tanzania mmh,au ndiyo maana tumeiba wimbo wa Afrika kusini tunaita wimbo wa taifa? Ukitaka kujua kwa nini Tanzania ni maskini DDDDDDD eti fyatueni watoto nitawasomeshea bureeeee,maamaaaaaaaa!
 
Sasa kama mawaziri wote watatoka ndani ya chama kwa undugu na urafiki unategemea nini liwaziri example pena neuyo ukililiuliza ata maswali linaishia kujing'ata ng'ata sembuse naibu waziri.
 
Huyu naibu waziri Mpina ndivyo alivyo au hakujiandaa ama ni nini! Hata ungeambiwa ni mjumbe wa nyumba kumi kwa jinsi anavyochemka huwezi kukubali,kumbe ukitaka kujua kwa nini Tanzania ni maskin,yapo mengi nyuma ya pazia.
Huyo jamaa hamnaga kitu kabisa na ili kuficha mambo yake anajidai ukali tu
 
Nami nilitaka kuanzisha uzi juu ya hilo.
Kwa kweli waziri huyu kachemka!

Amechukua muda mrefu kueleza kuchelewa kwa misaada toka nje utadhani hawezi kufikiri njia mbadala za kugharimia miradi ya mazingira zaidi ya kuwa tegemezi wa fedha za kodi za nchi nchi za ulaya.

Kwa kweli kifikra amejidhalilisha!

Mbaya zaidi katika suala la mifukonya plastiki hana idea kabisa na kule anakoelekea, zaidi ya kusema wamesimama imara kusimamia zoezi la kupiga marufuku mifuko ya plastiki.

All rhetoric and no substance.
Nimeacha kusikiliza na kwenda kulala.
Hao ndio viongozi wa serikali yetu tukufu
 
Tanzania,Tanzania mmh,au ndiyo maana tumeiba wimbo wa Afrika kusini tunaita wimbo wa taifa? Ukitaka kujua kwa nini Tanzania ni maskini DDDDDDD eti fyatueni watoto nitawasomeshea bureeeee,maamaaaaaaaa!
Mtamjuaje kuwa yeye ndiye mtukufu?
 
Huyu si kutoka jimbo la Msalala ama! Hivi huwa wanashawishi vipi wapiga kura au ni miziziology?
 
Sasa kama mawaziri wote watatoka ndani ya chama kwa undugu na urafiki unategemea nini liwaziri example pena neuyo ukililiuliza ata maswali linaishia kujing'ata ng'ata sembuse naibu waziri.
Wewe jamaa unalugha ya mafumbo ya khatariiiii
 
Jamaa kachemka inawezekana alitaka kuongea toka moyoni akaweka ubongo pembeni
 
Back
Top Bottom