King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,685
- 94,635
Ameongea hayo katika kipindi cha dakika arobaini na tano kitakachorushwa saa tatu usiku huu,kipande cha maneno hayo kimesikika kwenye taarifa ya habari ya ITV akisisitiza watakaofanya mitihani ya kidato cha sita lazima wawe na credit tatu yaani 'C' tatu.
My take:
kwa uelewa wangu credit ni kuanzia alama A,B na Mwisho ni alama C.kulikuwa na ulazima gani kusisitiza lazima awe na 'C' tatu na asiseme credit tatu tu au angefafanua zaidi kwa kusema credit tatu yaani A,B,C. Mojawapo kati ya hizo? Huyo ndiyo Mulugo.
Hujamwelewa? Acha ushakunaku
Ameongea hayo katika kipindi cha dakika arobaini na tano kitakachorushwa saa tatu usiku huu,kipande cha maneno hayo kimesikika kwenye taarifa ya habari ya ITV akisisitiza watakaofanya mitihani ya kidato cha sita lazima wawe na credit tatu yaani 'C' tatu.
My take:
kwa uelewa wangu credit ni kuanzia alama A,B na Mwisho ni alama C.kulikuwa na ulazima gani kusisitiza lazima awe na 'C' tatu na asiseme credit tatu tu au angefafanua zaidi kwa kusema credit tatu yaani A,B,C. Mojawapo kati ya hizo? Huyo ndiyo Mulugo.
unatumia avatar nzuri sana lkn ulicho kiandika sijui kama umefikiria alichokuwa anakifikisha mlete mada!!Hujamwelewa? Acha ushakunaku
Huyu atasababisha wanafunzi wewe na malengo ya hizo ''C''. Ni kweli alitakiwa kufafanua vizuri maana ya credits siyo kutaja C, labda tusubiri atakapoongea kirefu kama atakazia hizo C hiyo italeta picha kwamba hicho ndiyo kiwango kilichompeleka F6.
Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, KIGEZO CHA KUCHEMSHA KIPINDI KILE ISIWE SABABU YA KUMFANYA HAJUI KILA KITU.Kutokana na muktadha mbona tumemwelewa tu, au ulitaka aanze kufafanua kila kitu? Alichokuwa anasisitiza ni kwa wale watahiniwa wanaotakiwa kufanya mtihani wa kidato cha vi hivyo, credit ya chini anayotakiwa kuwa nayo mtahiniwa ili afanye mtihani huo ni 'c' Mulugo umeeleweka bwana.
kwa hiyo unakubaliana naye kwamba credit maana yake ni C.