Dakika 20 za kishindo!..

Najua nitabakiziwa nauli ya kurudia nyumbani 😜

Kuweni na huruma na wazee πŸ˜‚
Hebu cheki vitoto vya 2000 viko bongo humu vitakuonea huruma....... Tumia sapampa yako vizuri.

Hata nikikuhurumia,, mi na wewe wote wazee!!!!! Hivi viuno vilivyokongoroka, presha za kupanda na kushuka na hii migongo inayouma muda wote!!!!!!!!
Si tutauana humo gest tuache historia kwa wajukuu.
 
Hebu cheki vitoto vya 2000 viko bongo humu vitakuonea huruma....... Tumia sapampa yako vizuri.
Hivyo vitoto vinaweza kuniua na uzee huu, nimesoma huko juu walivyo hodari wanaweza kunipandisha presha katikati ya safari 😜
Hata nikikuhurumia,, mi na wewe wote wazee!!!!! Hivi viuno vilivyokongoroka, presha za kupanda na kushuka na hii migongo inayouma muda wote!!!!!!!!
Si tutauana humo gest tuache historia kwa wajukuu.
Wanasema tabibu hawezi kumzidishia dozi mgonjwa wake, na mzazi hawezi kumpa mwanae kiazi cha moto πŸ˜‰
Wacha tukumbushiane hadithi za mwaka 47 πŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kwahiyo sisi tunaoplay nyimbo za kina kabza de small, young stunna, dlala, thukzin, DJ maphorisa tunakosea. Sio!😌
 
utasema ni mzee kiasi hicho basi, haha
 
mpaka nimeanza kuwaza zinaa.
 
Hivyo vitoto vinaweza kuniua na uzee huu, nimesoma huko juu walivyo hodari wanaweza kunipandisha presha katikati ya safari 😜
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanasema tabibu hawezi kumzidishia dozi mgonjwa wake, na mzazi hawezi kumpa mwanae kiazi cha moto πŸ˜‰
Wacha tukumbushiane hadithi za mwaka 47 πŸƒβ€β™‚οΈ
β™₯️β™₯️β™₯οΈπŸ’“πŸ’“πŸ’žπŸ’žπŸ’ž
Tumalizie uzee
 
Hold onn.....Alofumuliwa ye anasemaje ????
Make wanaume bana mtu anezajisifiaa anajua weeeee in reality katoa bonge labokoooo

Anyways nimekosea njia

Cc Smart911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…