Dairy Processors(Viwanda vya kusindika Maziwa Tanzania)

mfianchi

Platinum Member
Jul 1, 2009
11,867
8,280
Wandugu nataka kufanya tafiti kuhusu Viwanda vya Kusindika Maziwa Tanzania vinavyofanya kazi vilivyopo kwa sasa,ningependa kujua majina na mikoa vilipo ,pamoja na kuwa nina orodha ya baadhi ya hivyo viwanda ningependa kupata uwingo mpana zaidi,hata huko Pemba,Zanzibar ,
Natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…