Wandugu nataka kufanya tafiti kuhusu Viwanda vya Kusindika Maziwa Tanzania vinavyofanya kazi vilivyopo kwa sasa,ningependa kujua majina na mikoa vilipo ,pamoja na kuwa nina orodha ya baadhi ya hivyo viwanda ningependa kupata uwingo mpana zaidi,hata huko Pemba,Zanzibar ,
Natanguliza shukrani