Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,100
- 72,527
Wakiongea mimate iwabubujikeee....! Chezea mapengo...
Washindwe kutafuna nyama
Wakiongea mimate iwabubujikeee....! Chezea mapengo...
Washindwe kutafuna nyama
Nyama za ofaaa...chezea mipaka ya baaa...
Uwiiiiiiiiiiiiii woyooooooooooooo
Leo nawashwaaaa....kwako hamna ukuta wa chupping nije nijikuneee?!!!
Upo njoo ujikune ukiweza uumalize kabisaaaa
Nakujaaa...
Uje uchiii
Hahahaaaa.....saa nikija na nguo nitajikunaje??
Nimekukumbusha tuuu
hahahahahaaaHalafu wang'oke meno ya mbelee....
Na hizi ndo dharau za kijinga kwa mashabiki zita mcost hata kama mnalipwa kumtetea mtandaoni huwezi kuwaita hivo hata yeye alitoka Tandale hakua na chochote sasa naamini alisema Mbeya hamna hoteli ya yeye kulala midomo yenu
kim nana na dinazarde nimewashindwa
limekuuma hili la mbeya?? khaaah! uliskia akisema au na wewe umeyaskia huku mitandaoni??? kwani unadhani waliomzomea pale leaders wana akili timamu???? kuna tatizo nikiwarecognize kwa status yao??
mbona dk. akisema huyu ndugu yenu ni kichaa mpelekeni mi
rembe hamsemi anadharau??? ofcoz waliomzomea dai ni wendawazimu wangekuwa wanajielewa wangemshangilia kiba kwa daimond wakapiga kimya akapita zake.
Calm down it seems umepanik umeelewa nilichoandika kweli mbona sijamtaja Kiba we umemtoa wapi kweli kawaruga kuongea pumba zake haziwezi niuma ila ndo zitakazo mpoteza huo ndo ukweli na siko hapa kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa achaneni na kiba na kuzomewa fikirien alternative nyingine ha ha ha mwishowe mu lose battle jipangeni kabla hamjapangwa i think u got me
Kiba mwenda wazimu anafanya mziki miaka kumi hana hata bajaj yenye ni msindikizaji
Ana kipaji ujue?
Kiba mwenda wazimu anafanya mziki miaka kumi hana hata bajaj yenye ni msindikizaji