Daimond Plantnumz in the FNL soon stay tuned

Daimond Plantnumz in the FNL soon stay tuned

jd alivurugana na mawigu akaamia "ya mashariki"naona mzee wa mdogomgodo anaenda nae.. niceee
 
Dai wakimbizeeeeeee ukiwakamata wapige mtamaaaa...
 
Nuhu ametangaza kwa wana Africa mashariki anampenda Shilole!

Nuhu amechora tatuu mpya yenye sura ya shilole kwenye mkono wake!

Soon atamvalisha Pete na ana kwenda kujitambulisha kwao shilole!

Na wemepiga kiss live kudhihirisha upendo!
 

Attachments

  • 1414184812190.jpg
    1414184812190.jpg
    44.5 KB · Views: 315
jd alivurugana na mawigu akaamia "ya mashariki"naona mzee wa mdogomgodo anaenda nae.. niceee

Kwahiyo unataka kusema hapo kabla alikua haendi kufanya interview kwenye media nyingine??? Nani kakwambia kuwa kagombana na mawingu? Jamani mbona mashabiki msiojitambua mnapenda kukuza haya mambo? Dah ni hatari.
 
Nuhu ametangaza kwa wana Africa mashariki anampenda Shilole!

Nuhu amechora tatuu mpya yenye sura ya shilole kwenye mkono wake!

Soon atamvalisha Pete na ana kwenda kujitambulisha kwao shilole!

Na wemepiga kiss live kudhihirisha upendo!

Hawa nao hua wanatafuta waongelewe lakin tupo busy hatuwaongelewi hata wafunge ndoa mbinguni, wapite hiviiiii>>>>>>>>
Ndio nishasema hivyo
 
kwani elfu 70 kitu gani bwana, hope wendawazimu hawataingia.

Na hizi ndo dharau za kijinga kwa mashabiki zita mcost hata kama mnalipwa kumtetea mtandaoni huwezi kuwaita hivo hata yeye alitoka Tandale hakua na chochote sasa naamini alisema Mbeya hamna hoteli ya yeye kulala midomo yenu
 
Na hizi ndo dharau za kijinga kwa mashabiki zita mcost hata kama mnalipwa kumtetea mtandaoni huwezi kuwaita hivo hata yeye alitoka Tandale hakua na chochote sasa naamini alisema Mbeya hamna hoteli ya yeye kulala midomo yenu

Alisema kweli unafikiri uongo kweli kabisaaa
 
Back
Top Bottom