Dah!This mature woman is crazy . . .!

Hi hadithi mhhhhhh. Madereva na hizi familia, kama si mama ni binti kama si wote kwa pamoja!!! Kama ambavyo haouse maids anachanganya baba, watoto wa kiume, mjomba anayetembelea, shemeji, muuza genge, house boy wa ndani na wa jirani, muuza njegere na mchicha mtaani, yaani the list is long!! Tuko wangapi? Tulizana!!
 
Eiyer sijui hizi taarifa unazipata wapi? Habari imetulia mzee maana hamna hata sehemu ya kuchangia. Sakata la huyo mzee na dereva wake lilianza na dereva kajihukumu mwenyewe kwa kutoroka na mzee kamhukumu mkewe kwa kujitenga kuwa naye chumba kimoja! Sasa sijui hapa binti naye atalamba adhabu gani, Lol!

Kibuti ndo adhabu yake!!
 
Last edited by a moderator:
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom