Dah sasa hivi mbususu zinalika kihuzuni huzuni :(

Dah sasa hivi mbususu zinalika kihuzuni huzuni :(

Nomadiq

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
7,924
Reaction score
20,912
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Pole kwa watanzania wenzangu mliopoteza ndugu, jamaa, na marafiki katika kipindi hiki kigumu.

Ni huzuni, huzuni, huzuni ilioje vilio na simanzi. Mambo hayaendi sawa hata mbususu haziliki na zikilika, zinalika kinyonge. Kwanza nguvu ya kula chakula cha usiku inatoka wapi, ni huzuni tu.

Alamsik wakuu.
Mnisamehe niliowahi kuwakosea kwa makusudi au bahati mbaya.
 
yale majamaa yalikuwa na magazines za kutosha vyuma vilikuwa full loaded yanamimina risasi kama njugu, halafu vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hawajui zile bunduki zimeingiaje nchini? au ndo kazi ya lile kontena la siraha?

hivi hii nchi hakuna hata drone za surveillance maana majamaa yalikuwa yanaua watu mchana kweupe
 
yale majamaa yalikuwa na magazines za kutosha vyuma vilikuwa full loaded yanamimina risasi kama njugu, halafu vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hawajui zile bunduki zimeingiaje nchini? au ndo kazi ya lile kontena la siraha?

hivi hii nchi hakuna hata drone za surveillance maana majamaa yalikuwa yanaua watu mchana kweupe
Halafu ni kama vile walipita kufagia uchafu wao wote maana mitaani kweupe. Wameondoka na shells zao za risasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom