Dah! No true love

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,741
Reaction score
3,315
Wakuu

Naandika ujumbe huu mapigo ya moyo yakiwa kasi kama mashindano ya Marathoni

Niko napitia hapa sms kwenye simu ya mpenzi wangu(kike) nimeitoa leo kwa fundi ilipata tatizo flan,Dah yani siamini kama ndo huyu Moyo wangu ulokua tayari kuacha ukapela kwa ajili yake.

Mabwana kama 10 wote wanaitwa majina mazuri,Yani anavonisisitiza nisimuumize sikutaraji kama anaweza kuwa hivi
 
Mapenzi ya sikuiz dah mtiani kweli-Niruksa kushikana kokote lakin sio kushikana simu,yani thaman yasimu imepanda kulko nyeti zetu.....Ukifklia haya unaona tu bora uwe baharia tu.......;Kumbuka bahari haiko shwari Life jacket nimuhmu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…