Naandika ujumbe huu mapigo ya moyo yakiwa kasi kama mashindano ya Marathoni
Niko napitia hapa sms kwenye simu ya mpenzi wangu(kike) nimeitoa leo kwa fundi ilipata tatizo flan,Dah yani siamini kama ndo huyu Moyo wangu ulokua tayari kuacha ukapela kwa ajili yake.
Mabwana kama 10 wote wanaitwa majina mazuri,Yani anavonisisitiza nisimuumize sikutaraji kama anaweza kuwa hivi
Wife alishika ya kwangu ndani kukawa na bifu la wiki mbili nzima. Sema nikiwa kama kidume sikosi cha kujitetea na mambo yameisha. Nikamuonya sio vizuri tushikiane simu.
Kila siku mnaambiwa ukimpenda mtu usimpende kw moyo wote hamsikii... Ukiona unatumia nguvu kubwa kumpenda mtu ujue upo kwny wrong relationship.. na siku zote mtu aliyejitolea xana kumpenda mtu ndy mwisho wa siku anaumia yy.
Mapenzi ya sikuiz dah mtiani kweli-Niruksa kushikana kokote lakin sio kushikana simu,yani thaman yasimu imepanda kulko nyeti zetu.....Ukifklia haya unaona tu bora uwe baharia tu.......;Kumbuka bahari haiko shwari Life jacket nimuhmu