Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
Yaani tangu laptop yangu izingue napata wakati mgumu sana kuingia JF, raha sina, amani imetoweka, apetite imeshuka, tabasamu limepotea, uchovu mwingi, yaani hapa taabu tupu. Hivi JF nimeikosea nini?? Yaani nawamiss sana hasa kipindi hiki tutapojiandaa na maandalizi ya X-Mass. Nawamiss sana AshaDii, Lizzy, The Rock, AfroDenzi, Dena Amsi, Rejao, Desideii(amenitosa), Asprin, Feis Buku, Roullete, The Finest, Fidel80, Washawasha(mzee wa nalog off wakati yupo), FaizaFoxy, Gaijin, Bujibuji,The Boss, Mwanajamii1(sielewi yuko wapi), Klorokwin, na members wooooooote nisiowataja..nawa,iss ,mno bazeeeee!!! We acha tu.