shangaaa na wewe
alimuona anatokea dukani na yeye angeenda pale akajifanya hata mteja mpe ka offer kidogo then jifanye huna haraka hata ya kutaka kujua jina lake uone kama samaki hajaingia chambo
Hapo sasa m nlipoona hajui kutongoza ni aliposema ooh demu ananiangaliaga kama ananipenda vile watu wengi wanaosemaga hivi ni mazege
hahahahaa wote tungekuwa na mtizamo huo yangekuwa majanga plus plus
Fanya uchunguzi mkuu wanakuwaga waoga kweli ila hayo ndo maneno yao ya kujipia moyo
Wadau za mida hii....basi dah hapa kitaani kuna mtoto flani hivi ya ukwel ananitesa mtima wangukichizi...hua anapenda kuniangalia sana pindi tunapo kutana stand au akipita hapa karibu na geto sasa mida hii nimemuona akitoka dukani nkasema hapa hapa bas amechukua cha kuchukua nikamfata ''Za muda huu mrembo''akanijb salama bs mzee mzima nkaona nisicheleweshe nikaomba namba ya simu nn dah akaniju ''hua stoagi namba ya simu''ukwel nimejiskia noma sana dah hiyo hali ya kutoswa namba imenipa mfadhaiko wakuendela kumfatlia tatzo anautesa mtima
nitumie mbinugani wadau
Kwaio kama hatoi namba huwa anatoa nini?
Yani kakujibu uzuri huyo,pia hawasemagi naked statement hivyo yani naomba namba zako????ulitakiwa kumchachafya mpah angetoa tena pacna kumuomba straight as u did...
Kaka neno la pili tu baada ya salam unaomba namba?ungeongea nae story kidogo ili ajiskie comfortable
Hapo sasa m nlipoona hajui kutongoza ni aliposema ooh demu ananiangaliaga kama ananipenda vile watu wengi wanaosemaga hivi ni mazege
inaelekea braza umezoea Kitonga, come on bhana mkazie...hakuna demu anayependa aonekane mteremko..anakupima huyo.
Nimejiandaa kukutana na cha mbavu kumbe mkuu kapewa cha shavu tu! Skia wewe.....bring up your game!
Kazana. Kijana mfate tena mpe Hi tu then story zingine zingine then na siku nyingine muulize kama amatumia mitandao ya kijamii eg.fb Twitter .nk. ole wake aseme ndio na akisema ndio bhaaaasi huko utapata namba tu
Na kingine endelea kumfatilia kwa njia ya urafiki then utapata namba tu ukiona demu kama huyo bhasi hajawa na elimu Safi.
Pole sana ndugu.
tnxx mkuu umenipa nguvu mpya
Sijatongozwa siku nyng na madomo zege.