Dah! Netanyahu amesema kichapo kitaendelea hata kama Israel itabaki yenyewe

SUdan tu hapo wanaua kama nn lakini hutosikia matamshi. Ajenda ya waarabu ni kumfuta israel pale ndo ajenda yao kubwa ndo maana unaona vikundi vingi vya kigaidi vimeanzishwa kupambana na Israel na mfadhili mkubwa ni Iran. Yaani badala yeye aingie yeye kama yeye anapitia mlango wa nyuma kufadhili ugaidi.

Lengo si ni kuifuta Israel kwny ramani ya Dunia ingia vitani ww si una maguvu jeshi kubwa zana za kivita za kutosha, katunishane msuli na mwanaume mwenzio siyo kuanzisha vikundi vya kigaidi mwisho wa siku watu hawaishi kwa amani kwa sababu ya upumbavu wako.
Hajipendi.Watamkamua puru hadi afe.
 
Wapalestina wote ni Hamas? Kaa chini na fikiria nini kinaendelea bila kufuata ushabiki wa Dini au historia uliyolishwa. Utu hautegemei rangi au kabila. Unyanyasaji , ukandamizaji na ubaguzi haukubaliki. Tunatakiwa kuunga mkono jamii inayodhulumiwa kwa mabavu.
Ila unaunga mkono ubakaji, utekaji na udhalilishaji wa kijinsia uliofanywa na Hamasi 7/10?
 
Israel inatoa hadi ulinzi wa hawo wahamiaji wanaelekea kusini mwa Gaza kule ndo kuna hakuna mapigano lakini bado wamekaza sharubu.

Unajua nasema hivi kwa sababu gani ni kuwa IDF wanatuhabarisha kuwa Hamas anatumia raia kama ngao yake kujilinda. Sasa kama raia wt watahamia kusini ambako wanahisi hakuna hawo hamas tutajua sasa mbivu na mbichi kama watashindwa kuwamaliza Hamas.
Hii Israel inayo shambulia Ambulance,matenki ya maji na sora panel ndo ana weza kulinda usalama wa raia?

Alafu kingine Israel ina historia mbaya juu ya hilo kwa sababu Israel mwaka 1947 alisha wahi kutumia njia hiyo kupora ardhi za wapalestina waliwaambia wahamie ukanda wa gaza ili vita ikiisha watarudi mwisho wa siku Israel ikapora ilo eneo lao ambalo kwa sasa ni kusini mwa Israel.

Hao raia wa gaza unao waona ni zao la wapalestina walio fukuzwa mwaka 1947 kwa njia hiyo hiyo ya kurazimisha watu wahame.
 
Mataifa sita yalipochabangwa mwaka 1967, Israel alisaidiwa na Marekani?
Kwanza jifunze historia ili uache kulishwa matango pori , Israel hajawahi kupigana na mataifa sita bali alipigana na mataifa 3 .

Na pia Israel ilianzishwa na Uingereza na Marekani sasa ulitegemea waiache ifutwe hali ya kuwa ifutike hali yakuwa waliianzisha kwa malengo na masilahi yao?
 
Hii Israel inayo shambulia Ambulance,matenki ya maji na sora panel ndo ana weza kulinda usalama wa raia?

Alafu kingine Israel ina historia mbaya juu ya hilo kwa sababu Israel mwaka 1947 alisha wahi kutumia njia hiyo kupora ardhi za wapalestina waliwaambia wahamie ukanda wa gaza ili vita ikiisha watarudi mwisho wa siku Israel ikapora ilo eneo lao ambalo kwa sasa ni kusini mwa Israel.

Hao raia wa gaza unao waona ni zao la wapalestina walio fukuzwa mwaka 1947 kwa njia hiyo hiyo ya kurazimisha watu wahame.
Mwaka 2005 rasmi Israel alijitoa Gaza na kwaachia Hamasi wajutawale.

Pili izo ambulance badala zitumike kusafirishia wagonjwa zinatumika na Magaidi kuhamishia siraha na kukimbia pale kibano kinapozidi. Israel inajitahid sana kupunguza casualty kwa raia wasio na hatia lakini Hamas wanawazuia raia wasihamie kusini mwa Gaza.

Kuna clip jana nimeiona raia wanakimbia kutoka kwny hiyo hospital ya Shifa lakini hamasi wakawazui na kuwarudisha ndani. Sasa hapo mbaya ni nani huyu anayekuambia uondoke eneo la hatari au yule anayekulazimisha usiondoke?
 
Kwanza jifunze historia ili uache kulishwa matango pori , Israel hajawahi kupigana na mataifa sita bali alipigana na mataifa 3 .

Na pia Israel ilianzishwa na Uingereza na Marekani sasa ulitegemea waiache ifutwe hali ya kuwa ifutike hali yakuwa waliianzisha kwa malengo na masilahi yao?
Hata ukipunguza yawe matatu nani aliibuka mshindi?
 
Kwanza jifunze historia ili uache kulishwa matango pori , Israel hajawahi kupigana na mataifa sita bali alipigana na mataifa 3 .

Na pia Israel ilianzishwa na Uingereza na Marekani sasa ulitegemea waiache ifutwe hali ya kuwa ifutike hali yakuwa waliianzisha kwa malengo na masilahi yao?
Wewe ndiye ulikuwa mratibu wa vita?Acha ujuajiujimga!
 
Back
Top Bottom