Dah! Mwanangu watakuwa wamemroga aisee

Dah! Mwanangu watakuwa wamemroga aisee

Kwanza Bro una roho ya Kipekee...niseme una roho ya Kitajiri na umewaza sana mbali kuona kabisa kuwa hii hali sio ya kawaida.

Jamaa ana pepo mchafu anamzibia riziki tu! Haya mambo kwa sisi wahangaikaji tunakutana nayo sana either kwa kujua ama kutojua. Msaidie kama bado una access naye!

Dah! Mungu akubariki pia
 
Wewe hujajua tu, huyo ameona mchango wako wewe si mkubwa kama wake, kiasi wewe utakuwa kama unamu-exploit tu, mashine zake atajua mwenyewe cha kuzifanyia. Hata mimi kuna watu wa design yako huwa wananisumbua sana, mara ooh, ile gari imekaa tu sijui ilete wapi tufanye nini, wakati naona kabisa itaenda kufa au kunitia hasara ya matengenezo, si bora ikae tu..., acheni kusumbua watu bhana..
Unalosema ni kweli kabisa. Ila hali halisi ni kuwa hata equipments zake sio best in its category performance yake ni average, Kilichofanya nifanya nitake kuteamup na nikua jamaa mwanzo alikua ana courage kubwa sana ila sijui kimemtokea nini. Na ilikufanya kazi nzuri yenye kuendana na soko, ku-hire equipments at the beginning nikitu ambacho hakiepukiki
 
Mwambie kwanza arudi nyumbani kwa baba na mama ana muda mrefu hajaenda, hata wao wanajua changamoto anazopitia ingawa si kwa mapana. Kuna tatizo lingine lilimpata mwaka jana kuelekea mwaka huu, hajakwambia tu.

Sio wewe tu uliyejitoa kumshika mkono, ni watu kadha wa kadha lakini imeshindikana.

Ni heri umwache kwanza aweke sawa changamoto zake maana ukitumia nguvu na ukifanikiwa kumshika, mambo yenu yataharibika kabisa.
 
Habari zenu wajuzi wa mambo.

Kunamwana angu mmoja nimejuana nae toka 2016 kipindi hicho tulikua nafanya nae kazi pamoja mtaani. Tukaja potezana mimi nikaendelea na ishu zingine, yeye akawa anaendeleza harakati.

Year 2020 nikarudi tena kwenye harakati nilizokua nafanya nae. Mshikaji nilimkuta yupo nje ya reli mambo hayakua mazuri kwake, nikaona i
Huyu atakuwa anatumia madawa ya kulevya. So akipata hela ana tumia dawa na anakuwa teja. Na hapo yuko addicted ndo maana anakuwa hivyo
 
Kwanza Bro una roho ya Kipekee...niseme una roho ya Kitajiri na umewaza sana mbali kuona kabisa kuwa hii hali sio ya kawaida. Jamaa ana pepo mchafu anamzibia riziki tu! Haya mambo kwa sisi wahangaikaji tunakutana nayo sana either kwa kujua ama kutojua. Msaidie kama bado una access naye! Dah! Mungu akubariki pia
Nimemtafuta sana amekua asomeke, mwaka sasa hakuna jambo tumelipanga akalifanya hata kwa 2% HAKUNA.
 
Inawezekana anakukaushia tu kwakua unampa dili za kiwaki au kagundua wewe ni opportunist unamfata fata kwasababu umeona hzo equipment au na yeye anakuona ww ndo umelogwa alaf na ww unamuona yeye ndo chenga
Wewe huku unamtafutia dawa na yeye huko anakutafutia dawa
 
You're too young to decipher the inevitability of nature
Chief, I'm mature enough to know that the the guy is addicted to gambling. Those people live with cognitive distorted beliefs about luck and getting rich fast.

Betting has effects especially financial losses but also can creates adverse familial, societal, and psychological consequences such as underscoring the importance of work ..and that is why the guy keeps ignoring his best friend efforts.
 
Huyu hajarogwa ka mkubwa,ila ana mawazo tofauti na wewe,wewe ukichunguza sana unamfuata fuata sababu Ana vile vifaa kule ambavyo wewe huna. Kama angekuwa hana vifaa hivyo sidhan kama ungepata hiyo morali ya kumfuatilia kutaka kufanya nae kazi,pia unaweza ukaona vimekaa tu havina kaz lkn yeye ana kaz navyo na anaingiza pesa inayomtosha,ama ana mipango ambayo hataki kukushirikisha Wala kukuambia wewe.

Hivi kweli unamuona ana shida huyu?mwenye shida umpe kaz ya pesa Kama izo apotezee?!

Mimi naona hataki tu urafiki wa kaz na wewe maana yaweza kuwa na yeye anakuona wewe ndio huna kitu ila ameshatambua wewe ndio unataka akuone muhimu wakat vifaa anavyo yeye.Huyu ni mzima na anajua anachofanya.

Usisumbuke nae

Ni mtazamo wangu tu bro.
 
Aisee kwa kias flani narelate na sana na uyo jamaa yn kuna kipindi nakua depressed nakosa kbisa motivation ya kufanya chochote kila kitu naona sawa tu, kuna comments nimeziona uko juu jamaa wapo right sana uyo jamaa sio kuwa anapenda inatokea tu kma wingu linamblock mambo yke yanakua hayaendi kaa nae karibu usimchoke aisee na kma ana ndugu zke waambie hlo ni tatizo kubwa anahitaji kuwa karibu zaidi na watu na kupata kitu cha kujishughulisha arudishe motivation

By the way me mwenyewe ni mtt wa kwanza na kuna mdau alieleza kuhusu mizigo ya first borns mtuombee jmn tunapitia mengi
 
Inawezekana anakukaushia tu kwakua unampa dili za kiwaki au kagundua wewe ni opportunist unamfata fata kwasababu umeona hzo equipment au na yeye anakuona ww ndo umelogwa alaf na ww unamuona yeye ndo chenga
Wewe huku unamtafutia dawa na yeye huko anakutafutia dawa
Upo sawa kabsa Kama ulivyosema. Ila ukweli ni kwamba nilimchagua yeye kati ya marafiki zangu wengi, kwa sababu friends wangu wengi tiyari wameshaji-establish katika Tasnia hii na they are making alot of money. Kuwacheki wao ni sawa nakuchota maji mtoni nakumwaga baharini. It won't make any change.

Ila nilitaka nifanye kazi na huyu ndugu yangu kwa sababu najua matokeo mazuri yatatoa mchango wakuonekana na kusheherekewa baina yetu.
 
Inasikitisha sana kwakweli, ila nimefurahishwa na jinsi unavyojitahidi kumpambania kijana mwenzio. That's so manly and impressive. Vijana tunatakiwa kuwa hivi.

Inaonyesha una nia ya dhati kabisa kumsaidia rafikiyo ila kwa mujibu wa maelekezo yako ni wazi kabisa huyo ndugu tayari kashaanguka kwenye Negative/Dark Realm ukute ni mtoto wa kwanza kwao au kuna possibilities ya potential za ndugu zake wakubwa kazibeba yeye ndio maana anaandamwa namna hiyo.

Mimi ningeshauri kua umchukue huyo mtu ukae nae au muishi sehemu moja kisha fanya utaratibu wa kumkomboa na kumrudisha katika msitari. Tafadhali usiwasikilize watakao kushauri uwende kwa fulani sijui akusaidie. Usithubutu kuondoa giza kwa kutumia giza lenyewe washa taaa!!!
Da' Vinci ungegusia kwa urefu zaidi namna ya Ku break hizo spells naamini ni changamoto wengi wanapitia na kushia kwa witchdoctors ambao sio msaada kwao.. huenda ikawa msaada kuwatoa kwenye vifungo.
 
Huyo jamaa ni kwa kuwa last born kuna watu anawategemea that's why haumizi kichwa kufanya kazi na kupata pesa zake.
Wakiondoka hao watu akili itamkaa sawa.
 
Back
Top Bottom