Dah Mei 12 hadi 15...

asante mkuu. sasa tutakua tunapost wapi thread? au tutakua tunacomment facebook? hii hali tutaipatia ufumbuzi tu.

mkuu kule Facebook, noma maana tunatumia majina yetu ya ukweli na tuna picha zetu Lets assume tumepigwa BAN ya siku 3 all members
 
Mimi hapa hoi kama nimefumaniwa vile yaani siku tatu.....
 
Mbona tutakua wagonjwa wengi, nani atatusaidia? Mie siko feisibuk,itakuaje sasa?
My stress free zone(I mean it) isiwe hewani kwa siku nne wallaih nitakua mautiuti:disapointed::disapointed::crying::sad::sad::sad:
 

Kumbe na wewe unaanzishaga Thread!
Nilipoiona kabla sijasoma ndani ,nikashangaa kuwa bado ipo hewani.Ila umeandika kiutaalamu kiasi kwamba imeleta mvuto kutokana na kichwa cha habari. Usingekuwa mtundu wa kuremba na kuweka maneno mazuri ungetandikwa ban ya hatari na mkuu wa kambi Paw akipewa support na Kamanda wa kikosi cha JF (aka mwenye mamlaka ya juu Jf) Invisible

Siku njema kamanda shukrani kwa taarifa
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Paw
Nawasikitikia mateja wa JF, nawatangulizia pole ktk kipindi hicho kigumu.
 
Asante kwa taarifa, at least KURUGENZI ya IKULU itapumua...
 
cjui itakuwaje wengine tunakuja kuondoa stress za maisha sa siku tatu mmmmh.....
 
Nashukuru,..jf mlisababisha mpaka mahindi yangu sijaenda kupalilia kisongo.
 
Kutegemea habari za magazeti ,Tv na Redio za Tanzania au nje bila JF ni sawa na kuishi Eritrea. Invisible kama unaweza lala mchana uwe unairekebisha usiku ,siye wa vijijini tutakipata
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…