Amesema, Lowassa aliita watu akaahidi ku address skandali la Richmond, hakuongelea. Ni mwongo. Hapo gongo na insanity ya Makongoro ni nini, amekosea wapi????
Hassan Mwinyi alifanya maamuzi magumu kujiuzulu wakati sio yeye aliyeshutumiwa kuua raia.
Makongoro kasema, utasemaje umefanya maamuzi magumu wakati suala linakuhusu wewe, wewe ndio ulishutumiwa na ripoti ya Kamati Teule. Uamuzi mgumu ni upi? Pombe na ukichaa wa Makongoro hapo ni upi?
Kwa miaka karibu minane Lowassa ameishi under a dense cloud, kimya ndani ya Bunge, Watanzania kwa mamilioni wakiamini Lowassa aliiba ndio maana akajiuzulu. Makongoro kasema "tunajua umetuchapa" na Watanzania hawana visasi.
Hapo gongo na akili zisizo timamu za Makongoro ni zipi, amekosea wapi hapo???
Magufuli nae ndo walewale.
Sahau kutawaliwa kwa kupeana madaraka kwa zamu kwani hii nchi si ya kifalme.
kweli mmevurugwa, yaani badala ya yeye kutuambia akiingia ikulu atatufanyia nini na kwanjia gani. nyie mnamuona wamaana kukaa akitaja majina ya watu....hovyo kabisa
Again at your best mkuu, haya bana kila mtu na mawazo yake
Mkuu wewe ndo umevurugwa kumbe, inaonekana hujui kama ilani ya uchaguzi haijatoka na hujui kama ilani ya uchaguzi ndo kila kitu kuhusu nini atawafanyia watanzania
Mkuu habari ya mujini ni ukawa
Asante Mungu,...umemleta Lowassa ktk wakati Muafaka kabisa..kutukomboa ktk dhiki na taabu za hivi sasa...ili watanzania wapate kuona nchi yao ilivyo tajiri na mali zote plus utajiri mkubwaaa wa gas...ziwafaidishe watanzania wote..!!
Rais wetu shupavu anakuja, Lowassa...!!! Allaah akbar...!!!
Lowassa, hivi abaitakia nini ikulu?.... watanzania tunataka kuleta laana nchi hii fisadi aende ikulu!!
Makongoro hawezi kua Rais jaman,acheni mchezo na Ikulu.Tatizo la Tanzania sio Ufisadi pekee, na haliwez kumalizwa kuwatukana wenzako,tatizo kubwa la Tanzania ni System na Bureaucracy,mengine yote yanazaliwa na kutoka humo.Sasa huyu Makongoro hajui kiini cha tatizo,akiwa ikulu hawezi badili chochote ataishia kuwadhibiti wanaompinga, huku wananchi wakiendelea kuteseka kila uchwao.
Uwa nakutoleaga ka respect fulani hiv lakini kwa hili Dont Judge The Book By Its Cover...usimwandestimate Makongoro Nyerere...tena uwezo wako wa kufikilia na kuchanganua mambo kama Makongoro Nyerere anamilki 90% bro you have 40%.Hahahahaa huyu nilishasema kuwa hana presidential cachet.
Ni loose cannon flani hivi...
Nitashangaa sana kama CCM wakimteua.
Uwa nakutoleaga ka respect fulani hiv lakini kwa hili Dont Judge The Book By Its Cover...usimwandestimate Makongoro Nyerere...tena uwezo wako wa kufikilia na kuchanganua mambo kama Makongoro Nyerere anamilki 90% bro you have 40%.
Ni vyema ukachukua nafsi ya kumsoma mtu very keen kisha ukaja na ufafanuzi wa maana.the dude has brain sio utani...