dah, hii kali

sirside123

Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
20
Reaction score
6
Mkulima m1 mchamungu alikuwa anatoka shambani ghafla akakutana na simba kwavile gakuweza kukimbia alipiga magoti akafumba macho kumuomba msaada mungu simba asimle ile anafumbua macho anamuona simba nae kapiga magoti kwa mshangao mkulima akasema aah! Jaman kumbe na ww ni mkristo? Simba akajibu nyamaza huko!kwani kwenu hamsali kabla ya kula? Mkulima chiniiii!!
 
Huyo simba kiboko yake angekutana na LIBOLO.asinge sali bali angeacha vumbi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…